Wale wote mliomaliza funga yenu salama.........ningependa kuchukua fursa hii kuwapa mkono wa EID......
ni kidogo lakini si sawa na bure......
EID MUBARAK
Jamani tangu niingie chitchat naona ni wakongwe tu ndo waliokamata watoto wazuri wazuri. Mpaka Boflo ana bond yake. Jamani moyo mpweke kama mimi wameisha Chitchat ama mi bahati yangu mbaya?
nasikitika kuwataarifu kuwa kuanzia jumapili ya tarehe 12 sitakuwepo tena jf, najipiga ban ya hiyari kwani nimechoka kufuatiliwa. nahisi kuboreka na wanaonibore na wanajijua/wanajifahamu. yan...
Baada ya story za hapa na pale na
kufahamiana kiaina...
Jamaa; Naomba basi namba yako ya simu..
Mdada; ya kazi gani?
Jamaa; nataka niipambe kwenye
phonebook yangu
Mdada; sina...
Hi all
Jamani humu JF mwenzenu naona raha kutoa like pale ninapo kutana na post ya kufurahisha. Naweza nisiunge mkono hoja ila kama imepangwa vizuri, au kama inafurahisha lazima natoa like...
Mfano unababu yako ambaye ni tajiri sana. Katika dakika zake za mwisho karibu anakata roho anakuita. Anakwambia mjukuu wangu, nimekuachia milioni 100 kwenye kwe.. K....nye .. Kwe..... alafu...
Hivi baba kwani wewe na mama mnataka muanze shule,
Baba:hapana kwani vip mwanangu,
Mtoto:mbona jana usiku nilisikia unamuuliza mama "vipi twende la pili"
Baba:!!!?!?
Mambo vipi wakubwa na Wadogo na wale saizi ya Kati,Dah!kama dizaini kama kitambo sijaonekana humu Ndani kama miezi kazaa hivi nilikuwa Zanzibar japo kuna watu wengine walizani mimi ni Mzenji...
Tafadhali wasukuma mlioko kwenye jamvi hili naomba mniambie maana ya neno "NAHINZA" OR "NAVINZA" sijui linavyotamkwa kama unaweka h au v hapo katikati.Thanx.
Wakubwa
Leo anasakwa mwanachitichat ambaye ni zaidi ya mwingine,afu huyu ndio atakua miss chitchat wa week hii.utapendekeza jina moja kati ya hawa,mwisho ni ijumaa saa sita kamili mchana baada ya...
Ilitokea siku moja mkinga mmoja mfanyabiashara alipigiwa simu na ndugu yake aliyekuwa amesafiri kwenda mnadani kumtaarifu kuwa amepata "breakdown" ndipo huyu mfanyabishara (mtaarifiwa) anamjibu...
August 12th, 2012 | 6 Comments
Images of a giant snake loaded onto a truck are making their rounds, with a story of a massive snake that killed 320 tourists and 125 divers in Egypt. It has been...
Nataka kuingia nalo bungeni!
Mwenye nalo tuwasiliane haraka.
Spika makinda ajiandae kwa ugeni huu mkubwa na wa kihistoria,
nitafikia speakers changing room, sihitaji kutangazwa, nitajitangaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.