JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
natuma salamu kwa waume zangu TANMO na mtu chake.... ujumbe: mkisusa wenzenu wala....ikisindikizwa na wimbo..nataka paja mie (mfalme Yusuph).... Preta tupo wangapi? na hii list ina...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Fanya mpango uweke picha yangu hapa nikiwa na Kongosho. Buku mbili zitakuhusu ukiweza. Cheers mate! Btw: Bishanga haruhusiwi kutoa comments hapa.
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Kumbe wahudumu wa mabaa (bar maids) kwenye vile vipochi vidogo vinavyoning'inia, wanakuwa na vikaratasi vidogo ambavyo wameandika namba za simu, ukijichanganya, unapewa ratiba ya huduma! Wadau...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nani anakumbuka hii k2? Na Eid hii mida hii RTD enzi hizo.. Wacha kabisaaaaa
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Viongozi watatu wa ngazi ya juu wa Serikali ya Mkoa wa Katavi wametapeliwa na watu wasiojulikana baada ya kuelezwa kuwa wameshinda promosheni ya Airtel ya Shilingi milioni 50. Waliotapeliwa ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimefiwa na ankar yangu alfajiri ya leo....
0 Reactions
36 Replies
3K Views
* 5 things Indian movies taught us : * ** 1. Atleast one of the identical twins born is evil..!! * *2. While defusing a bomb, don't worry which wire to cut, you will always choose the...
0 Reactions
2 Replies
775 Views
Ndo nshaamua hivyo.... Leo si jumamosi? Liwalo na liwe, mwezi uandame au usiandame mie kurudi kwa mkoloni wangu ni mpaka Jumatanoooo.... Nimechoka kukaa huku kwenye lokesheni yangu ....si...
11 Reactions
113 Replies
9K Views
wana jf wenye amani na furaha zaidi ni wanaChit chat....wenye hasira, visasi,kukonda na presha muda wote jukwaa la siasa...wenye busara zaidi na wavumilivu ni jukwaa la great...wenye vijembe na...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Nasikitika kuwataarifu wana cc kuwa Bibi yangu kizaa Baba amefariki leo.Bibi ambaye alikua na umri mkubwa unaotazamiwa takribani mwiaka ipatayo 80 amefariki kwa uzee katika kipindi ambacho bado...
0 Reactions
112 Replies
6K Views
The Incredible Tree-Climbing Goats of Morocco... Before you jump to conclusions: no, these were not created by a bored geek in Photoshop. Amazingly, these uncanny animals are actually real...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Jamaa kaupdate status - I'm Online On Fb Durin Lecture. Hahahaha . > Comment toka kwa lecturer: Get Out Of Dis Class Now:) . > PRINCIPAL Liked a comment..:)
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wangapi wanapendela arudi kwenye mashindano kura yako ni muhimu vote now...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Nilikuwa najua baba na mama ni ndugu. Kamwe sikujua kuwa ni watu kutoka koo mbili tofauti. Mama yangu mdogo alipo olewa, alivaa nguo nzuri sana. Mimi na wadogo zangu tukaletewa nguo nzuri sana...
1 Reactions
47 Replies
4K Views
Nawatakia sikukuu njema enyi nyote wana great thinker.. Eid mubarak
0 Reactions
3 Replies
869 Views
Dah! Nimekumiss charminglady najua unasoma thread hii,yawezekana una Id nyingine kwakua ninavyokufahamu uwezi ukaa hata saa 1 bila kutinga Jf.Kiukweli napata shida sana nikaapo bila kukuona,sipati...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Kuna bwana mmoja alijisikia kiu njiani akiwa kwenye safari akaenda kwenye nyumba ya jirani na njia akaomba mjiya kunywa. Mama mwenye nyumba akamwambia mwanawe mpe maziwa, baada kunywa maziwa akawa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Polisi wa jiji alimkamata jamaa akikojoa sehemu iliyoandikwa MARUFUKU KUKOJOA HAPA , akamtoza jamaa faini ya elfu 5, yule jamaa akampa sh 10;000 /= polisi akamwambia, kojoa tena sina...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninacho waomba endelezeni yale mema mliyokuwa mnayafanya siku zote za mfungo mtukufu. Tupendane, tusaidiane na tutakiane kheri kwa kila jambo. asalaam alekum. mia
0 Reactions
3 Replies
905 Views
Enyi machichatter,nimekuwa nikifuatilia nyendo zenu kwa makini sana na nimegundua yafuatayo: 1. Mnatongozana sana 2. Tongozana zenu nyingi haziishii kwenye keyboard,mnachukua hatua moja zaidi...
8 Reactions
105 Replies
6K Views
Back
Top Bottom