JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
kama ningekuwa na uwezo wa kuwa fimbo yenye bluetooth ningesafiri mpaka magogoni ndani kabisa na ningewatandika watu fimbo za masaburini hadi wakose nguvu za kwenda kutalii na akina bekham.na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Yule mkali wa miduara AT kashusha video mpya ya ngoma yake ya bi. harusi. Furahia.
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Unakumbuka February 8 2012 wakati baraza la mitihani lilipotangaza matokeo ya kidato cha nne? stori kubwa ilikua mwanafunzi alieamua kuandika mistari ya bongo fleva kwenye sehemu ya kujibia...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
MKE :Kuna nini kwa jirani?? MME:Kutakua na birthday MKE:Ya nani? MME:Itakua ya Tuyu MKE:Tuyu ndio nani? MME:sijui ndio nani nimesikia wanaimba "happy birthday, Tuyu "
7 Reactions
19 Replies
3K Views
Jamaa ana kigugumizi akapewa muwa ale akajibu, "si. . .si. . .siwezi. . .****. . .****. . .liza, ni. . .ni. . .na. . .uboo. . .uboo. . .ubovu. . .wameno. . .labda. . .tuu. . .KATIANE!":yawn:
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ticha mmoja wakat anafundisha alijamba kwa bahati mbaya kwa aibu akaomba likizo ya mwezi mzima. Aliporudi akauliza wanafunzi wake "tuliishia wapi?" wanafunzi wakajibu 'tuliishia pale ulipojamba'.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Humans are born with 300 bones in their body, however when a person reaches adulthood they only have 206 bones. This occurs because many of them join together to make a single bone
0 Reactions
1 Replies
979 Views
jamani kwema lkn,nimetokea utambulisho kuna jamaa akanambia nije na huku,so ndo nimekuja kucheck nn kinaendelea humu.asanten bandugu!!!!
0 Reactions
30 Replies
2K Views
habari WOTE, nimeamua nirudi tena na hii segment ya fact... tunakumbushana tu kwa wale waliokwisha kufahamu, na kuelimishana kwa wale ambao hawajawahi kusikia... leo naanza na hii hapa: A mans...
0 Reactions
4 Replies
955 Views
Karibuni tukeshe msibani bandugu
0 Reactions
1 Replies
873 Views
Docta wa vichaa alikutana mtaani na kichaa mmoja aliyetoroka kambini. Akamuuliza;kwanini upo nje ya kambi?,yule kichaa akamjibu:"Wale wenzangu wapo boarding na mimi nipo day"!
1 Reactions
3 Replies
1K Views
habari zenu kwa mpigo! kwanza naombeni radhi. niliaga kuwa sitaonekana kwa kukwazika na kutajwa tajwa kitu ambacho si kweli. ukweli ni kwamba wiki nzima tulikuwa na auditors ofisi na tulikuwa...
1 Reactions
67 Replies
7K Views
SEMINA UBUNGO PLAZA.. Watu wakaanza kujitambulisha, Wa1:Mimi naitwa John niko UDOM mwaka wa 2, nasoma LAW,, Wa 2: Mimi naitwa Stella niko UDSM mwaka wa 3 nasoma PUBLIC RELATION,,,Wa3: kwa...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Hayahaya wajameni kimeeleweka sasa Napenda kuchukua fursa hii kuwatakia ndugu zangu Waislam Eid Mubarak na kuwapongeza wote waliofunga. Nianze na shemeji yangu Roulette, sweetlo...
13 Reactions
122 Replies
9K Views
It took me all way since morning try to think and think and think how to wish you happy life in this very moment where you celebrate your day. Always, i am just like robot (around), to see and...
12 Reactions
67 Replies
5K Views
Watakaohesabiwa ni wale watakaolala KWENYE KAYA usiku wa kuamkia 26/08/12 Wadau, Napenda kuwajulisha kuwa harusi ya Preta na Erickb52 iliyokuwa ifanyike tarehe 25 kuamkia 26/08/2012...
6 Reactions
113 Replies
6K Views
jaman km mnavyoona ktk heading hapo,nko dar ila hii sehem siijui naomben mnielekeze kwa anayefaham.
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Hili ndilo tatizo la ugeni. Ni juzi tu nimejiunga hapa na nina yangu ya moyoni nataka kushirikisha wanawake wenzangu lakini nashindwa kuyaweka hapa kwani naona kama vile pako hadharani mno. Nataka...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
mimi ni mwanafunzi wa udaktari mwaka wa mwisho . lakini kila nikiangalia mbele sioni mwanga . kwani katika ndoto zangu ni kuwa na maisha mazuri . sasa wana jamvi naomba ushauri je niendelee na huu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Unafyonza nini kati ya hivi? Pipi ya kijiti, chakula ya mtoto, chumvini, mavini, pua, macho, masikio, ulimi, lips, tovu, kwapa. Beware of ban.
0 Reactions
63 Replies
5K Views
Back
Top Bottom