JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Dada Nai, Hujambo? Tangu ujiunge JF nimekuwa nikikusoma sana mpaka nikakuelewa, nikakufahamu kisha nikakuona. Maandishi yako yanaeleza mengi sana juu yako: tabia, mtazamo, na falsafa yako ya...
5 Reactions
26 Replies
3K Views
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Nje ya ubinadam, ungependa kuwa kitu gani? 1. KITANDA ulaliwe? 2. KAPETI ukanyagwe? 3. PIPI unyonywe? 4. MPIRA uchezewe? 5. MSUMARI ugongwe? 6. MBEGU upandwe? 7. TUNDA uliwe? 8. NAZI ukunwe? 9...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Wadau naona Dr Mwakyembe baada ya kasafisha TCA, TPA na sasa ni zamu ya CEO pale TAA. Mi naona kasi ya uwekezaji ktk kujenga na kuboresha viwanja hauendani na ukuaji wa uchumi Afrika mashariki. Ni...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari pple,,,,,,, Watu hua wanakua na tabia tofauti tofauti kutokana na malezi,mazingira aliyokulia may be??but all in all mambo tunayofanya na tabia zetu hua zinakuja kutokea kwa watoto wetu...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Hii si utani mtu amg'ata Cobra hadi mauti Man Bites Snake to Death in Revenge - Yahoo! News My take: Jino kwa jino (WHEN IT IS DEADLY). Mtu akitutania, mtanie:fencing:
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MTALII mmoja kaja BONGO akakutana na interpreter mmoja mswahili anaitwa MKUBYA wakaenda hotelini mambo yakawa hivi: TOURIST:"Do you have vegetables here?" MKUBYA:"Mnavyo vijimeza hapa?"...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
uamuzi huu mgumu umefikiwa baada ya kuibuka kundi wafuasi wa wakati ndio sasa kuhakikisha ndoa haifungwi, kwani tangu nilipotangaza nia ya kumchukua charminglady imefikia hatua tumetumiwa sms za...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
jamaa mmoja alikua muongo(sound).. Siku moja akawa anawapigia masela wenzake story za jinsi alivyokua muwindaji wa swala.. Sasa story ikaenda mpaka wakafika sehemu jamaa amemlaza swala chini...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
"Doc," says Steve, "I want to be castrated." "What on earth for?" asks the doctor in amazement. "It's something I've been thinking about for a long time and I want to have it done" replies...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna study imefanywa na wanasayansi, wakagundua kuwa ute ute (semen) ni nzuri kwa afya ya wanawake na inapunguza stress. Jisomee zaidi http://www.thesun.co.uk/sol/homepage/news/article4499457.ece
0 Reactions
3 Replies
941 Views
Tumetangaza vita na kila mmoja wetu ni askari! Silaha zetu ni mikono yetu akili na maarifa tunayo! Risasi zetu ni nidhamu, na dhamira yetu ni kumshinda adui yetu UGUMU WA MAISHA!
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Mungu akupe miaka mingi duniani, uote mvi mpaka kwapani, sema ameen.
1 Reactions
52 Replies
3K Views
Awali ya yote kimaono yangu nathubutu kusema hapa jamvini pangekua na selection ya kuwapa members u'Superstar wa kila mwezi ningewapendekeza hawa vijana, Mtoto6 & Charminglady! Because Superstar...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habarini za saa hizi wana jamvi ndo nmeingia maputo mozambique nashukuru kwa dua zenu nmefika salama salmin.....GOD BLEC ALL
0 Reactions
5 Replies
934 Views
Hebu nisaidie hii, kama unajua Kiswahili.......... Ikiwa hii 11,000 = elfu kumi na moja. Jee, hii ngapi 10,001 Nisaidie mtu wangu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Walikuwa wanawaza nini? Walipojenga ile power plant pale ubungo! Walipojenga lile daraja (pekee in dar) pale manzese? Walipokuwa wakiwachagua viti maalumu (au vitumaalum)? Walipotangaza...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Nimeenda sehemu kunywa soup maeneo ya chang'ombe jijini dar es salaam, cha ajabu pale mapokezi nimeona kibao kimesha geuzwa. Kimoyo moyo nikasema leo kazi ipo. Na hii hali ya hewa ya kibaridi si...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
jamani hivi hawa watu wanaojuifunza keenye hizi driving schools za hapa jijini..!! Wanajifunza ufundi au wanajifunza udereva..!!? Maana yani gari za driving school za hapa town nyingi zimechoka...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kwanza natanguliza radhi zangu za dhati kwakua nimekua nikiwatania wengi sana humu jamvini bila kujali umri mana avatar zaficha mengi......ila nimeona leo nifunguke kua am more than serious kwa...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom