JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
nimepita kkoo wadau kuna mvua ya risasi... na mpaka naondoka eneo la tukio chanzo hiki hakijapata habari kamili... kwa zisizo rasmi inasemekana ni ugomvi wa polisi na raia wanaogombea...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hali hii inasababishwa na kujichukia wao wenyewe. Muonekano wa kuwa na nywele za aina moja kila siku unawafanya wajikinai ki saikolojia na hivyo kujikuta wakitawaliwa na msongo wa mawazo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Cantalisia, you look more beautiful today than the day I first met you. My love for you grows and grows with each passing year. Growing old with you is one of my favorite things to do. Every year...
4 Reactions
85 Replies
5K Views
Kichwa cha mada cha husika. Napenda kuwataarifu wana cc kuwa harusi ya charminglady na MtotoSix haitakuwepo tena kwakua watu hawa ni ndugu. MtotoSix ni mtoto wa nje ya ndoa wa mama yake...
0 Reactions
58 Replies
3K Views
jamani wana chit chat humu jamvini kuna mtu namfeel sana ila sijui ni nani ila si kama wa kumoyo manake Kaizer ni zaid yake, na si kama wadogo manake Excellent, mbombinho, Eiyer platozoom na Smile...
10 Reactions
127 Replies
7K Views
Nime M-miss sana!
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Kuna kijana alikua anataka kuoa akamwabia baba yake kaniposee msichana fulani baba yake akamwambia tafuta kwingine yule ni dada yako ila mamako hajui ucmwambie, Kijana akatafuta mwingine baba...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
The symptoms of a cold last between seven and fourteen days, well that is an easy disease course compared to falling in love, it is going to take you approximately a year or two to recover from...
0 Reactions
3 Replies
919 Views
Hii ni kutokana na majinya mapya ya CCM zanavoibuka kila siku: -Chama chakavu cha mabwepande -....... -.......
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Kesho asbuh allah akijaalia nasafiri kwenda mozambique kwa yeyote anayehtaji chochote wkat wa kurejea nimletee anijuze
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Kichaa mmoja alipanda juu ya mwembe asubuhi, ilipofika jioni akajiangusha chini, dokta alipomuuliza kwanini amejiangusha akamjibu alikuwa ameiva!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Chizi alipanda juu ya mwembe asubuhi, akakaa juu hadi jioni kisha akajiangusha, daktari wa machizi akamuuliza mbona umejiangusha? Chizi akajibu " nimeiva!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Source: Mahali fulani kwenye net.
1 Reactions
56 Replies
3K Views
Haya si maneno yangu , ni Swaiba wangu . Na kwa mnyegesho wa maneno ili tupate mnogesho wa habarize nimnukuu . > Swaiba ; Bw Judgement hii habari ya wanaosema eti Kunguru hafugiki , na eti...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Sio kila mtu anayeingia benki ameenda ku withdraw pesa....wengine wameenda kuomba loan. Sio kila mtu anayeingia chooni mara kwa mara anaharisha...la bda ameajiriwa huko. Sio kila chali...
0 Reactions
19 Replies
7K Views
wale wote mliokuwa mnamvizia charminglady mlie tu coz kuanzia sasa mpaka ni bond yangu. Natia msisitizo, [b]kuanzia sasa charminglady ni Laaziz wangu.Mimi na Kipya Kinyemi changu tunawatakia...
0 Reactions
108 Replies
6K Views
Jamaa alienda kwa mchungaji kuungama... Alianza hivi...... "Nihurumie Mungu wangu, nimetenda dhambi nyingi saana..." Mchungaji: "Mwanangu, usihofu... Mungu ni mwenye huruma saana... Atakusamehe...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mtalii alimuuliza muendesha Bot do u know biology,geology,criminology,ecology,geography and sociaology? Muendesha Bot akajibu no Mtalii akamwambia then u wil die illeteracy. Baada ya muda Bot...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Kwa kuwa Mungu alisema si vyema mtu aishi peke yake, na hivyo mtu atamwacha babae na ***** na kuambatana na mkewe, na kwa kuwa mama yangu mpenzi gfsonwin na baba yangu mzee mzima Kaizer wamenipa...
7 Reactions
105 Replies
6K Views
Back
Top Bottom