Dah! charminglady kumbe we mkali wa malavidavi aise!,penzi la kuiba tamu,ujue umenichosha kiasi kwamba toka ulivyoniacha asubuh nimeshindwa kuamka,bado nimelala tu,please ukija uniletee dawa za...
Jamaa mmoja alikuwa anamsifu mtoto wake kuwa ana akili sababu anaharibu sana vitu nyumbani yani haipiti siku mbili lazima avunje chombo au aharibu remote control.alipoulizwa kama hiyo ni akili au...
Kama sio upendeleo wa serikali yetu kwa wakristo ni nini?
(a)Kwa nini sensa ifanyike jumapili na siyo ijumaa?
(b)kwa nini kila uchaguzi unafanyika Jumapili?
Huu ni upendeleo wa wazi wa...
Bangi si mchezo!
jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo!
Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo kujitazama akajiona kama kavaa suti!!
then akaenda kama alivyo kwa MASELA wenzake akawauliza OYA vipi...
Nilikuwa napita 2 ndo nikamwona kuna kitu anafanya, kurudi nikakuta kamaliza kufanya.je alikuwa anafanya nini?
.
.
.
I was passing by when i saw him doing it,
when i came back to see again he was...
A guy who was a notorious womanizer entered the
ladies toilet of a hotel instead of the men's toilet. He
sat down and noticed four buttons with the
following inscriptions on them: WW, WA, PP...
heshima mbele wanajamvi. . . napenda kuwakumbusha wanakamat kuwa kikao cha mwisho kitafanyika trh 26/9 fyatanga bar. mmwnyekiti Madame B, katibu@ruttashobolwa,mapambo beibe nasty na gfsonwin...
leo nimepata nafasi nimezurura huku jukwaani lakini yafuatayo yamenitatizaa;
1. Wanaoandika majina ya wenzao wengine wanawezea lakini wengine mpaka u''reply'' ndo yanatokelezea.
2. Mbona watu...
Jaman,jaman,jaman....baba kaja anapiga mayowe analia kukutana na mtoto ambaye alimtelekeza akiwa mdogo na mbaya zaidi mtoto huyo anataka kumuoa dada yetu wa nje ya ndoa anaitwa naniii!..nanii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.