wameleta mgao wa maji timekubali ,wakaleta mgao wa umeme tikauzoea wakaleta pia mgao wa mafuta tikachukulia poa haikutosha wakaleta mgomo wa madaktari fresh na walim wakagoma poa lakini chonde...
Mtoto wa mchungaji katoa ushuhuda kanisani
Haleluyaaa!!!
Nashukuru mungu kwa kuniponya,nilikuwa na ugonjwa wa kutokwa damu sehemu za siri kila mwezi
lakini tangu nimeanza kwenda kwa mwalimu wa...
VISA VYA KUZAA NJE YA NDOA:
Kijana alitaka kuoa, akamwambia baba yake niposewe msichana fulani. Babake akamwambia tafuta kwingine, yule ni dada yako, ila mamako hajui usimwambie. Kijana akatafuta...
From Yahoofriends
ECONOMIC SITUATION AND GROUND RULES
Due to the current economic situation, all domestic rules and regulations have been revised as below and under no circumstance is any...
Leo tuanze kwa baraka kidogo.
Zab ya 19:
12. Ni ani awezaye kuyatambua makosa yake? Unitakase na mambo ya siri
13. Umzuie mtumishi wako asitende mambo ya kiburi, Yasinitawale mimi
Ndipo...
Ke/Me huwa tunavutiwa na Baadhi ya nguo kwa tunao wapenda.
mimi binafsi Laazizi wangu akipiga kanga ikamshiba sawia juu akapga kitopu chake...akawa anaenda jikon na kurudi kwa Sebulen jaman...
Nimepitapita yahoo leo na nimeona hii
CLICK HERE FOR MORE INFORMATION
I wish I could reach her age someday, I got ~91 years to go. what about you guyz and galz?
Kuna msemo maarufu sana, kutoka kwa waliotutangulia usemao "Tembea/Kua uyaone"
Machache niliyopata kuyaona na yakiniacha, aidha na majibu kibwena (mengi) kuliko swali husika, ni labda nitoe...
Wana cc habari yenu bhana!
Tupo kwenye mchakato wa kutafuta miss chitchat atakaye peperusha bendera ya u-miss chitchat kwa mwezi september baada ya mlimbwende miss cacico kupeperusha bendera ya...
eti kisa kanunua yeye,kisanga chenyewe kama eti mtu anamiliki maybe tuseme simu au laptop mbili, moja akakupa kama rafiki,mchumba,mume au mke (mojawapo)ili utumie eti cjui kuna mtu anahitaji bila...
..hawasomekiii
wanaume somekenii..
Hii umaweza ichukulia kama "JOKE" nenda jukwaa la MMU ukutane na STRESSES..
ndo ukweli...
Au naongopa Mamndenyi ? Say sth
guyz sijawahi kutoka na mmama aliyenizidi umri ila nikiwaona nawatamani sana.mi nina miaka 27.nimeajiriwa.ninaelimu ya kutosha.degree 1.siwapendei pesa.mnanishaurije?
Jamani naombeni msaada kwa anayemfahamu@Kongosho?
Nashindwa kuelewa, je ni mwanamume au mwanamke?
Msaada kwenye tuta plizzzzz kabla sijajiingiza ki kichwakichwa
Naona wakala kanitembelea:
Karibu wakala. "Asante, nimekuja kuhesabu kwa ajili ya maendeleo ya jukwa letu" Sawa, karibu.
Tunaendelea hivi;
1. Jinsia-me
2. Umri-miaka 29
3. Wake-watatu
4...
Jamaa alikatika mkono 1,Baada ya kuona MAISHA yanazidi kuwa magumu, akapanda ghorofani ili ajitupe chini. Kabla hajajitupa akamwona mtu hana mikono yote akiruka kwa furaha akamwuliza, "Mbona...
basi bwana mtu mzima nikajikusanya kusanya na mshenga kwenda kwao charminglady kujitambulisha kuwa mimi ndo muoaji na ndo muhusika wa ilo tumbo lake, kweli tulipokelewa kwa bashasha watu8 na mkewe...
mtu yeyote mwenye uwezo wa kunipa michakato namna ya kupata kazi za udom naomba ni pm. kama huna cha msingi usipositi tafadhariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.