Daktari wa moyo amefanyiwa sherehe ya kustaafu, ikatengenezwa picha kuuubwa ya moyo. Ikawekwa picha ya daktari katikati ya ule moyo. Mtu mmoja katika waliohudhuria sherehe akacheka sanaa. Kaulizwa...
WAJAPAN: Wameunda mashine ya kukamata wezi na kuipeleka nchi zifuatazo kwa majaribio:
URUSI baada ya nusu saa ikakamata wezi 40
JAMAICA baada ya dk 20 ikakamata wezi 100
GHANA baada ya dk 15...
Kwakuwa mwalimu ambaye ni baba wa taifa anaitwa JK. Ili kumtiofautisha na Raisi wa sasa basi huyu akitaka kutumia kifupi cha hili jina aitwe KJ. wangapi wanaafiki na kwanini?
Binafsi napendekeza...
wachunga kondoo wa mungu!!!
but kila mmoja kwenye maubiri yake haishi kusema hakuna kama yeye katika dunia hii!!!
wengine wanajiita NABII WA MANABII, mara MTUME WA MITUMe haya bana si hatuna...
Kwa wale wenye magari na kwa kawaida hampandi Daladala; Hivi ndivyo viroja tunavyopata kwenye Daladala wenzenu tusio na magari
Mlokole: "Nyimbo gani mnapiga?!? Wekeni nyimbo za...
Karani mmoja wa sensa amevunjika mbavu baada ya kuangua kicheko cha nguvu alipokuwa katika harakati zake za kudodosa...Amemhoji mzee wa kaya kuhusu makazi vizuri kabisa.Baadaye alimhoji kama...
1.Raha ya jf uzi mpya, mzuri, unaoburudisha, kuelimisha na kuhisihisha; unaochangiwa na wengi, vizuri.
2.Raha ya jf ku chat, hasa baina ya wapendanao.
3.Raha ya jf kuwasakama walanchi.
4.Raha...
baada ya speculatiosn nyingi, huyu kudai ni ndugu yangu, huyu kadai mchumba wangu ni dada angu, sasa nimeamua kukata mzizi wa fitina nimeamua kuweka cheti changu cha kuzaliwa hapahapa. kwa iyo...
Haya yalikuwa ni mazungumzo ya mume na mke kwenye simu.
Mke: Hallo mume wangu,
Mume: Sema mama watoto.
Mke: Huku nyumban kuna matatizo.
Mume: Hayo ni matatizo yako.
Mke: Housegirl wetu anamimba...
Wana jamvi wenzangu niko pembeni ya ligi ya wanajeshi wa majeshi yetu mawili tofauti (JW na POLICE) Police anajisifia kuwa yeye ni bora na ana kazi mno kuliko mjeda! Mjeda kamjibu kuna nchi yeyote...
Mike Tyson after being banned by the
American Boxing Association, has taken up a
new profession as a Salesman. He is now
working as a Senior Sales executive for
Household products with the...
Wadau
matarajio nyie na Sensa zenu hamjambo.
Ni punde hivi jamaa yangu kanitumia msg akinipa homework nimpe wasifu wa hawa watu wafuatao ;
1. REMMY ONGALA
2. ANNA MAKINDA
3. PETER MIZENGO...
Eti kannijia kunzaliwa wapi?Nkawambia wataka nini?
Mie sembe nanunua kwa pesa zaangu, kipande cha papa kwa pesa zaangu, mafuta taa kwa pesa zaangu, sijamuombapo ntu.
Siku nyengine hilala na njaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.