JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jiachie kwa kuwatakia Daku njema kama kichwa cha habari kinenavyo..... Mi namtakia daku njema My wife arabela(mysweetheart,myiceheart), my shemeji eversmiling,Bibi madameX, Babu Asprini, Dada...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu, Kawaida wanaume wengi tuko flat sana.Ila siku hizi vijana wa kiume walio wengi ukiangalia nyuma wamejazia ile mbaya.Tatizo ni nini?Uvaaji au ulaji?Kindly help,am dead of clarification.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katika utafiti niliofanya hivi karibuni hapa Bongo na nje ya Bongo nimepata ushahidi wa kuaminika kuwa watanzania sio wavivu, huu umekuwa uzushi wa muda mrefu miongoni mwa wachache. Je ! mnasemaje...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
-alo juu mgoje chini. -msafiri kafiri -ukubwa dawa -mgaagaa na upwa hali wali mkavu -...n.k Nanyi ongezenu munayokumbukam pia bakita km wanasoma wafanye marekebisho
0 Reactions
29 Replies
5K Views
wengi wao hawajui kupenda isipokuwa wanatamani na kutaka kupendwa wao tu.
0 Reactions
2 Replies
892 Views
Mungu amenihurumia, tendo hili kubwa sana Sikustahili jambo hili, nimelipata bure tu Hivi vyote vyatoka wapi, nasema ni huruma tu!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Natafuta goboreee la kununua jamaniiiii
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hivi ukiweka hela upande mmoja na ngombe upande mwingine na mchagha hapo kati, Je machagha atakimbilia nini?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa jina la YEsu, nimeikemea hii barua pepe iliyoingia kwenye akaunti yangu na alaaniwe yule aliyetumia jina la Bwana wa majeshi kutaka kutapeli!! ....................... :Dear belovethA...
0 Reactions
0 Replies
845 Views
by Celine dione
0 Reactions
2 Replies
914 Views
Mzungu mmoja alikwenda sokoni kununua vitunguu. Muuza vitunguu alipomwona Mzungu akajificha uvunguni mwa meza ya vitunguu. Hata hivyo Mzungu hakujali na aliendelea kueleza shida iliyompeleka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jamaa mmoja asiye na mikono alianguka kisimani baada ya kukaa kisimani kwa muda bahati nzuri kuna mwanaume akapita pale kisimani, alipohisi uwepo wa mtu akaomba msaada kwa sauti na jamaa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama ukubwa ni jalala basi udogo ni dustbin.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
eti, si mmeelewa kicha cha habari? ...leo sijavuta kabisaa!!!niko fresh nimeandika nikiwa timamu
1 Reactions
59 Replies
5K Views
I stopped buying newspapers 2 years ago. Has the net reduced the amount of money you spend on papers/magazines/etc/etc??
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wasalamu Nimewamisi sana vijana wa kazi ndani ya chitchat nao ni Mu-sir na Junior .Cux .Jamani nimewamiss sana,sana tena sana Wakati mnaingi nadhani mlipiga hodi,wakati kwa nini kimya wakati wa...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Sijui shetani gani alinituma kukopa mabilioni benki,ntakoma mwaka huu,hayalipiki!
2 Reactions
86 Replies
10K Views
Huyu mdada hajui kabisa kutamka baadhi ya maneno ya Kiingereza. Anavyotamka "legendary" anakosea kabisa. Hata alitumiavyo pia anakosea. Neno "career" ndiyo kabisa analiharibu. Analitamka...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Kuna mtu yoyote anayetokea kilema kaskazini humu lile eneo wanapotoka magreat thinkers hapa tz ajitokeze
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom