Kuna jamaa ambaye ana watoto waliokulia nchi moja tunayopakana.
Sasa mtoto mmoja wa mtanzania akaulizwa darasani, kila mtu ataje jina la nchi yake.
Yule wa mtanzania akasema " kwetu Bongo"...
Jamani nakereka sana na hiyo hari maana naona ni jinsi gani wabongo tunavyo copy na ku paste.
Au utakuta kila mjengo una kavaranda pale mbele ya nyumba halafu nyumba haina hata hewa, yaan mmh...
S01E01 The Beginning
mambo wana JF!! hivi majuzi niliweka uzi wa kutafuta gym buddy na jana nimeanza rasmi mazoezi. kila kitu kilikuwa pouwa lakini mikono inauma bado, rafiki zangu wa jf...
Three gays are in a spa bath - Suddenly a blob of semen floats to the surface of the spa. They all look at each other and one says to the other two: "Ok, which of you two morons farted?
Katika maisha suprise ni mojawapo ya jambo ambalo mtu hulifanya mara nyingi kwa yule ampendaye. Katika kuonesha kuwa unampenda mama/baba yako mara moja moja unapaswa kum-suprise
Chukua simu...
Hivi huyu jamaa (Kanda Bongo Man) aliishia wapi?
http://www.youtube.com/watch?v=LtkxBfClF-E
Congo - Kanda Bongo Man Live II - YouTube
Kuanzia dakika ya 3.30 kuna dada anakata mauno ya hatari...
Tusaidiane kuitafsiri sentensi hii iwe kiingereza
"RAHA YA KUFUNGA UWE NA UHAKIKA WA KUFUTURU NA KULA DAKU" hapa ofisini kuna zogo linaendelea kuhusu kiingereza.
Ni siku ya J'3 asubuhi niko mahakamani, ambapo nasubiri JUDGEMENT ya kaka yangu.
Aidha hapa nimesindikizwa na my wife BEIBE NASTY na members wa Jf ninaowakumbuka ni MTALINGOLO, ERICKB52, NICAS...
Ninafanya kazi majini katikati ya Mto Ruvuma, na tena ni takribani Kilometa 25 kutoka usawa wa bahari! Naishi huko, ila wakati wa w/ends ndo kidogo tena J'pili tu,naruhusiwa kwa kuwa ni siku ya...
Kama wimbo wa Bwana Misosi, kila sredi utayofungua watu wanatajana majina.
Kuna haja ya kuharakisha mchakato wa jukwaa la salamu, maanake hata anayepost mada ya tofauti mwisho lazima amalizie...
Wana jf barabara ya Mbeya mpaka Malawi imefungwa takriban masaa sita baada ya mtu anaedaiwa kukodi bodaboda kisha dereva kutoonekana ila alokodi kaonekana. Wananchi walimpeleka polisi then after...
Hodi, hodi...... mmmm jamani mbona kimya???? wenyewe mpooo, mmhh! au niondoke mbona sikaribishwi? au hamtaki wageni? Mmm basi naondoka isiwe taabu jamani maana nasikia sauti za watu ndani but...
Baada ya kupambana ktk kutafuta kile ambacho nimekua nakitafuta kwa muda mrefu(kupendwa na charminglady),sasa nimeingia ktk ukurasa mpya,yaan kuelekea kufanikiwa,nasema kuelekea kufanikiwa kwa...
Mimi ni mwanajf nisiyechangamana na kundi lolote. Ninastaajabishwa na umaarufu wako mkubwa wewe lady ambao unawadatisha vidume wengi humu jamvini. Nakuuliza, ni nini siri ya kukubalika kwako...
Guyz started a topic there at MMU and some members argued to be too explicit as it was about adult content..
I thnk its moved to adult section.. I want to get there and go on with my study..
How...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.