JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Katika safari zangu za kujenga taifa, baridi ya Arusha, nimeivulia kofia, wakazi poleni
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mara nyingi nimeona familia ambazo zina jiweza kiuchumi zinawalea watoto kama mayai vile kitu ambacho kwa mtazamo wangu nanona kama ni sio vizuri kwa sababu mtoto anakosa uelewa wa vitu vidogo...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
DUA YA KUSOMA KAMA SWAUMU IMEKUZIDIA; ya kabaab wal kuku, yaa sambusa wal chatne, innal chips wal mayai, yaa chapati, wal maji wal ice cream, yaa juice bariiidi. UKIMALIZA FANYA KAMA UNAPIGA...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Jamaa kaingia bar: JAMAA:Mhudumu nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani, maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji. Haraka sana mhudumu akagawa vinywaji JAMAA:Mhudumu...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Huyu anaitwa Asprin au Babu Asprin. Anayo hifadhi kubwa ya picha za aina mbalimbali na anazitumia kumtania mtu pale anapoona inafaa. Mimi ni mmoja wa victim wa utani huo pale nilipojitokeza...
9 Reactions
57 Replies
6K Views
A dog asks a cat "How come I've never seen you cats making love in public?" The cat replies, "Do you want humans to steal our style like they did yours?"
0 Reactions
6 Replies
2K Views
ATTENTION ATTENTION. Usijione una zali kwa kushobokewa na mademu ktk kipindi hiki, kwan wataalamu wa mapenzi kipindi hiki wanakiita "HIGH SEASON" ambacho mademu weng huwashobokea washkaji, nia na...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi ni kwanini watu wakinywa Bia au pombe nyingine zenye asili ya kizungu uwa wanapenda kuzungumza kingereza,lakini wale wenzangu wakinywa za kienyeji kama ulanzi,mnazi,turbo...wao ni kuzugumza...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Nimekuwa nikijiuliza lakini nakosa jibu! Hivi ni kwa nini marekani kunaitwa unyamwezini? Au mmarekani anaitwa mnyamwezi? Sometimes mtu akiwa mjanja mjanja anaitwa mnyamwezi? Kuna uhusiano gani hapo?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kuna Jamaa alifiwa hivyo akaenda kununua jeneza, baada ya kulinunua akakodisha pick-uk na akakaa nalo. Njiani kuelekea msibani mvua ikanyesha sana so jamaa akaingia ndani ya jeneza kujikinga...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katika maisha ,kuna wakati wa raha na uzuni pia,,kufiwa ni jambo ambalo hua linamuumiza kila mtu pindi yanapomkuta. Je ni jambo gani lingine(ukiondoa kufiwa) ambalo limeshawahi kukuumiza saaaaaana...
3 Reactions
46 Replies
4K Views
Mwandishi alikwenda kumuhoji dereva moja mzee akiyekwisha staafu; MWANDISHI: Mzee unaweza kunambia siku ambayo ulipata jambo la kutisha kuliko yote katika maisha yako ya udereva? DEREVA: Ndio...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mimi nakerwa mno na mtandao wa airtel kutuma message ya hongera kwa wateja na kwamba wamezawadiwa muda wa maongezi kumbe ni UONGO! Kuna siku walinitumia sms kuwa wamenizawadia elfu kumi na tano...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa mwana JF yeyote aliyeko mwanza tuwasiliane
0 Reactions
4 Replies
713 Views
Jamaa alipoamka asubuhi kutoka usingizini alijikuta kawekewa noti ya sh.5000 masaburini kwake ikiwa imekunjwa kama msokoto wa tumbaku au bangi.Jamaa hakuumiza kichwa chake,alichukua ile hela na...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Mlevi hahongi ela ila pombe hadi tosha yako, konda hahongi ela ila daladala yake utapanda bure, muuzaduka hahongi ela ila vitu vya dukani, bosi hahongi ela ila vyeo (e.g. jk), dereva wa taxi...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
1. Kifo cha Mandela 2. Barcelona kushuka daraja 3. Mess akipelekwa Liverpool kwa mkopo 4. Taifa stars wakishinda WORLD CUP 5. DINO MOREA akiwa rais wa URT 6. Bibi kidude/Bi Cheka kuperform...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Nilipofika nyumbani,nilikua nimenyeshewa.Ndugu yangu akaniambia, "si nilikuambia usitoke."Dada yangu akaniambia, "hata hujanyeshewa vizuri."Baba ,kwa sauti ya hasira akasema, "we nyeshewa...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Sura sio roho wajameni! Kuna jirani yangu handsome kinoma lakini ni katili hakuna mfano, ana wivu sijapata kuona! Mke marufuku kutoka nje! Asubuhi anafagia uwanja anaenda zake viwanja akirudi...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Jamaa mmoja alimwambia jirani yake leo cku ya 3 jicho linanicheza!! maanayake nini? Jirani akamjibu cjui! Ila cku yakicheza ****** we niambie....
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom