JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Teacher: how many typ of cofee do we have in Africa Amigo: two.... Teacher: very god what are they? Amigo: cof olomide and cof annan...! Teacher: haaaaa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ningekuwa nauwezo ningekunywa hata pombe ya banana nipunguze mawazo.maana usiku silali mchana hapatoshi kwa jinsi ninavyomzimikia mlimbwende huyu.nimetongoza weeee lakn ndo kwanza anazidi kutia...
0 Reactions
98 Replies
5K Views
jaman jaman kichwa kimestuck asubuhi hii nataka pika ila sijui nipike nin pilau mekula jana na upolo upo, maharage juz na samaki kitoga sa sielew tupo mtu tatu mim mama na dogo sijui nipike nin...
1 Reactions
48 Replies
8K Views
Nothing to display.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hellow wapendwa wangu,Kwa uweza wa mungu nimerudi tena baada ya kutoonekana kwa mda,niliwamiss kupita kiasi!Baba yangu Mtambuzi,Mme wangu kipenzi Rejao,mashem wangu wote,mawifi,maswaiba zangu wote...
10 Reactions
51 Replies
3K Views
Aisee babaanguee...mie naenda sangu kule Moo..Moshi kweli..nikapate sangu mbege na bibi anitemee mate kidogo maana hays magonjwa yamesidi kwe..kwelii. Naomba mwenye salamu anitume kabisa...maana...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Hapa kuna Quize 1 to 5 , atlist ujibu mawili leo na the rest kesho. Ukiyamaliza yote pia poa. 1. Ikiwa kokote duniani hakuna nchi yenye sheria ya kuruhusu dereva aendeshe chombo akiwa kalewa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Another Beautiful Friday. Anyone with an Idea of Places to Visit?
3 Reactions
41 Replies
4K Views
Jamaa kapokea bill ya maji ya mwezi dec 2011, milioni 3 akaamua kuwapigia simu DAWASCO: Haloo, naona na bill ya yale mafuriko nimeletewa mie.
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamaa mmoja alikuwa anakwenda polini kuchanja kuni mambo yalikuwa hivi Jamaa; mkewangu niandalie shoka langu Mama; haya[kaandaa akampatia jamaa kaweka kwenye kikwapa] Jamaa; akitengeneza ka bangi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hizi ni habari nilizozishuhudia jana usiku wa manane wakati watu wote wamelala charminglady alikuwaa bado anasoma kwa makini mistari ya wakati ndio sasa na ilinichukua muda kuamini kama zile...
2 Reactions
46 Replies
4K Views
Jamani msiseme nimekuja Moshi ata siwaambii hali ya hewa. Huku leo mvua imenyesha nyinhi tu kwa iyo sasaivi kuna kaubaridi mwanana... Leo nimefika chuo cha ushirika kwa sasa MUCCoBS...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
hali zenu wanachitchat, mwenzenu naumwa leo. ni mwezi june tu nimemeza dose ya malaria lakin saiv imerudi. . . naomba kwa wanaofahamu tiba mbadala ya malaria wanijuze make sipendi dawa za...
1 Reactions
45 Replies
4K Views
Hakika huu ni ujumbe rasmi kwako niliyekudhani ndiye kumbe siye! Na wale niliyowadhani siyo kumbe ndiwo! Na yule niliyemdhani siye, kumbe ndiye! Najua mlengwa unajijua ! Nevertheless najua...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
kuna jamaa anaitwa johnson,anamiliki saa saa ya mkononi,siku moja Hamisi akamwomba ile saa ili aende nayo harusini,kesho yake akawa anarudisha ila kabla ajamkabidhi Johnson,akakutana na Shabani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Umenikataza nisiwaambie watu lakini nimeshindwa. Navokuona na unavokunywa najua umeumia sana. Acha wanachitchat wajue umempoteza binamu na rafiki yako sana wa karibu. Kama mimi nimeumia najua...
10 Reactions
53 Replies
4K Views
Chicken Philosophy WHY DID THE CHICKEN CROSS THE ROAD? * NURSERY TEACHER: To get to the other side. * PLATO: For the greater good. * ARISTOTLE: It is the nature of chickens to cross roads...
0 Reactions
3 Replies
738 Views
vilaza: wakizinduka hapo ni ama wagonge meza au waunge mkono hoja wasiyoijua sio lazima kuhudhuria vikao kama hauwezi kuwakilisha waliokutuma. inawezekana sheria ya kinyonyaji ya kuhusu mafao...
0 Reactions
2 Replies
620 Views
It is Friday evening natafuta pahala pa kwenda maana sehemu nyingi zimepooza baada ya wenzetu kuwa katika mfungo.. Kwenye home page ya Google kuna game ya penalt shooting...nimedaka zote...hebu...
0 Reactions
4 Replies
769 Views
World population rank: (1) China. (2)India. (3) Facebook. (4) USA. (5)Indonesia. (6) Brazil. (7) Twitter.
0 Reactions
0 Replies
750 Views
Back
Top Bottom