Wanajamvi, siku sio nyingi sana nilikuwa naishi sayari nyingine kwahiyo JF was not in my menu.No sooner nilipokuja JF niliona nilIkuwa nimechelewa,kwa hiyo kuna watu walikuwepo JF MMU hawapo...
Wakulu wasalaam,
kama mnavyojua kesho ni sikukuu yetu wakulima. Nyie wafanyakazi kesho eti mtapumzika wakati sie tutaenda shambani kulima kama kawaida......... Very unfair.
Kama mjuavyo vijana...
@aspirin ni babu kijana na mpenda totoz, hivi katika hali ya sasa ilivyongumu kimapenzi,kisiasa ,kiuchumi anawezaje kuwa na wapenzi zaidi ya mmoja na totoz kibao anazifukuzia humu kila kukisha na...
Mama yangu mpenzi gfsonwin! Mimi mwanao mzima kabisa. Kabla ya yote nikuhakikishie mapenzi ya kweli niliyonayo
kwako. Hapana mwingine kama mama! Wewe una nafasi ya kwanza moyoni mwangu na hakika...
Kwa wale wenye magari na kwa kawaida hampandi Daladala;
Hivi ndivyo viroja tunavyopata kwenye Daladala wenzenu tusio na magari
Mlokole: "Nyimbo gani mnapiga?!? Wekeni nyimbo za...
JF hakika imekuwa ni sehemu muhimu kwangu! Habari, burudani nk nk! Waliofanya watu wasitumie ID za ukweli
wameongeza sana uhuru wa watu humu. Hata hivyo kuna watu kadhaa nikigundua kuwa hawapo...
Nataka kuielewa hii habari kwa ufasaha zaidi, so nimeandaa igizo fupi na main characters ni Kongosho akiwa kama Manager Public Relations TANESCO na mheshimiwa Bishanga kama kishoka/tapeli wa...
jaman wapendwa wangu hivi juzi juzi email account yangu ilikua na tatizo basi nkajitahd nikafix tatizo nilivoingia mepata notifications nying zikiwemo za jf kwa harakaharaka ,acho yangu yakapita...
Asubuh mapema na my wife twaelekea 88...
Na alivyopendeza huyu Mamito mpaka choon namsindikiza...wale wa zawadi,gift agizen kwangu wanaume,wanawake wamwagize wifi yao.
habari za mapumziko wana chitchat, katka maisha kila mtu huwa ana wishes zake kwenye majina ya wanawe watarajiwa. mf. mie kabla sijapata mtoto nilikuwa napenda jina la Yvonne na Ian, nilisema km...
Jamaa alikuwa anapita karibu na bar, akaona watu wanapata moja baridi moja moto.
Nayeye bila kusita akaagiza aletewe naye bia..akadhani za dezo.. alipomaliza bia ya pili akaona watu wananyanyuka...
Nimekaa gesti tatu tofautitofauti, kila gesti niliyolala nimekutana na mifupa juu ya miimo ya mlango>
Nimewauliza wenyeji wangu, mifupa hiyo ni kwa ajili ya nini??
Wamenijibu eti inawafukuza...
Friendship between women: A woman doesnt come home one night. The next day she tells her husband that she had slept over at a girlfriend's house.
The husband calls his wife's 10 best friends...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.