Mteja flani kaingia kwa 5 star hotel.
MTEJA:"Pilau bei gani?"
WAITER:"Tsh.2000 pamoja na kachumbari."
MTEJA:"Kwani kachumbari ni bei gani?"
WAITER:"Kachumbari ni bure."
MTEJA:"Basi...
Dah weekend hii jana nilimtembelea Erotica,ikabidi tusnap,weekend ilienda bomba sana na tulibadilishana mawazo.Ila im so happy kuonana naye.....Msijiulize sana kwanini siku hizi haonekani chitchat...
Wapendwa wanachichat habari zenu? Leo ntafunguka na kujimwaga sana kuhusu mambo yaliyonitokea hivi karibuni. Mambo yalianza hapahapa chitchat niliporusha uzi huu...
Teja moja liliambiwa ili ale futari aanze kufunga na yeye, ili asikose futari alianza kufunga siku inayofuata, ilipofika saa nane hali ikawa mbaya kwa kuwa hajazoea hivyo akaamua apige simu...
Kwa mapenzi yangu na kwa ajili ya watz wenzangu wote natoa ahsante kwa mchina kwa kurahisisha maisha ya waafrika. Kama ni saa, simu, vyombo, bodaboda nk tusingeweza kumudu gharama zake kama...
Bila shaka mikataba feki ya malavidavi inasainiwa kwenye inbox zenu a.k.a pm ajabu watu wakishagundua mikataba ni ya kifisadi wanakwenda mahakamani MMU' ombi langu kuanzia sasa mikataba yote...
Ama kweli watoto wa sasa hawana adabu kwa wazee wao. Ilitokea baba na mtoto kufarakana katika mazungumzo ambayo yalikuwa kama ifuatavyo:
Baba: Mbona unafeli kila mtihani mwanangu?
Mtoto:Sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.