JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari wanajf, nimekua nikiangalia topics na mauni ya watu kwenye huu upande wa mahusiano na mapenzi issues n nyingi and pple...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
I go about three times every day. How often do you go?
1 Reactions
43 Replies
3K Views
Tuabarishane aina ya vitafunwa vinavyo shika Nafasi ya kwanza, Kama kawaida yangu mi nalipuka vipande vya mihogo...bagia pemben..paja la kuku na mtori... Tupia vyako...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
wapendwa natumai wote ni wazima wa afya napenda tuungane kumtakia maisha mema na yenye baraka binti yangu mpendwa anayefikisha miaka minne namtakia maisha mema na yenye baraka na mafanikio amen
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Ndugu zangu ni kweli moro na dom wametoa majina ya ukarani wa sensa. Vipi sehemu nyingine kama temeke, arusha, mbeya.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndg kama mzazi wako wa kike anajibua kama hawa mabinti wa siku hizi hivi unaweza mwambia nini? Maana mimi huwa nakereka sana niwaonapo bibi mzima eti anajibua na huu mkorogo nakuwa kama papai...
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Waungwan mwenzenu hivi karibuni navuta jiko' jiko la gas ya oryx sio jiko la mchina'ila honey moon nimepanga kwenda Mogadisho Somalia'nina ofa ya tiketi ya 2 za kunisindikiza kwa JF alietayari...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
A professor stood before his philosophy class and had some items in front of him. When the class began, wordlessly, he picked up a very large and empty mayonnaise jar and proceeded to fill it...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Baada ya ndoa,mume na mke wakawa wamekaa wakizungumza.Basi mwanamume akamwambia mkewe Mume:Kuna vtu vwili nataka kukwambia, Mke:Niambie mume wangu. Mume:Lakini kimoja kinafurahisha na kingine...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
1. Karibu watu wote huwa tunakunywa maziwa; hivi mtu wa kwanza alifikwa na nini hadi akaamua: "Ngoja nikamue chuchu za huyu ng'ombe na ninywe kitakachotoka"? 2. Mtu wa kwanza aliewaza: "Hiki kitu...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Baada ya mgomo kubatilishwa, walimu wanawalisha sumu Wanafunzi as plan B. sijui nani wa kulaumiwa, Jk na watu wako mpoo!, kazi ipo Mwanafunzi:- Please madam gfsonwin, how many types of...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
nilijichangaga mpaka nikakinunua. Nilikua sitoki hom
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua kubwa ikawa inanyesha, pamoja na mkewe kumsihi abaki kitandani yeye akang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Akajitayarisha akatoka nje akamwacha mkewe...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mzee mmoja kutoka Tarime alikuwa ktk matembezi mjini Dar, ghafla alikutana na rafiki yake wa kitambo nae kutoka Tarime akiwa anaongozana na kijana wake, baada ya kusalimiana mzee wa Dar...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
mpeni alama mtunzi huyu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
What's your desktop wallpaper? Mine is.......
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kwa wale wapenzi wa novel, nimepata link ya kitabu kiitwacho Songs of ice and fire, au kama unafatilia series ya Game Of Thrones..... enjoy...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
>yes Or> No. hvyo vitufe vya Yes, No ndo vitakusaidia kujilinda na Rungu la invisibo... \ >False statement... >Rejected thread.... Hapa juu epuka kutumia hzo Maneno hapo juu. Kanuni...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
mambo wana chitchat, leo nimeota ndoto nzur kwel. kwamba kuna mtu kanipigia kwa namba ngeni (namba ambayo sijaisave kwny cm yangu) nikamuuliza wewe ni nani akaishia kunizingua tu mpaka nikashtuka...
4 Reactions
48 Replies
4K Views
Wana chit chat leo Mmevaaje? Mi nimetoka na suruali model chini chacha,juu shat la damu ya mzee na kofia ya mkeka,hapa my wife Arabela kaandaa mwenyewe..
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Back
Top Bottom