This is my first year since i have been in jf.Namshukuru Mungu kwa ushauri na challenges nyingi nilizizopata,ambazo zimenisaidia sana na ninashukuru kwa marafiki niliowapata hapa ambao wamekua...
mgombea ubunge m1 dodoma alikua akimwaga sera zake ili achaguliewe.. Ikawa hv..
Mbunge:Mkinichagua mm kuwa mbunge wenu ntawajengea daraja kuubwa kuliko yote tanzaniaaaa
wananchi:Ah wap ww...
Jamaa mmoja baada ya kuona hapewi haki yake, ikiwa ni baada ya mkewe kujifungua mtoto, akazimia moyoni mwake kumwua yule mtoto ili mapenzi yarudi kama kale. Siku moja asubuhi sana wakati mkewe...
Heshima kwenu wadau,
Yaani afadhali imefika ijumaa maana nipo hoi, hapa kibaruani kampuni ina utaratibu wa kuajiri sana jamaa walioamua kurudi nyumbani baada ya kufanya sana kazi huko dunia ya...
Dah pamoja na mawazo mengi tuliyonayo kuhusu rushwa bungeni,kufungiwa mwanahalisi,kugombana na wake zetu,wapenzi wetu....tusahau yote hayo. Tupeane michapo ya town.
Bwana wewe kiswahili...
Officer: What Is Your Name? *Candidate: M P. Sir *Officer: Tell Me Properly. *Candidate: Mulenga PhIRI Sir *Officer: Your Fathers Name? *Candidate: M P. Sir *Officer: What Does That Mean...
Wajameni! Wanachitchat na wanajamvi waandamizi na wale wa "siku hizi"
It is with great pleasure kuwa leo hii, our very interactive and friendlu colleague and mod wa hili jamvi, the one and...
wapendwa wanachitchat natumai wote ni wazima nimekua nikilipita hili jukwaa kwa sababu mnajuana na mimi leo naomba nitangaze natafuta kaka dada mama cousins husband sis in law bro in law baba...
Yuda apata chance ya kutembelea ahera..akiwa na mwenyeji wake anapelekwa chumba cha mahesabu. Anashangaa kuona saa zenye mshale mmoja zisizo na idadi..akauliza vp hizi saa zina maana...
Mjamzito alikwenda hospitali akakutana na dactari aliyegoma, mazungumzo yakawa hv; Mjamzito:Dr mtoto hachezi tumboni tangu juzi nifanyeje? Dactari: Meza kitenesi na filimbi,ukiona bado hachezi...
kuna baba mmoja alinunua ka simu kake ka kichina akawa amekaa seblen ana test test milio kwa bahaati mbaya akajamba PWII
mtoto wake wa mwisho akasema Baba usiweke huo una harufu mbaya
Nilikuwa na timu ya wenzangu kikazi mikoa ya kusini - Lindi na Mtwara kwa siku mbili, sasa tukiwa tunarejea Dar usiku wa kuamkia tarehe 3 August 2012 tuliingia Dar tumechelewa kidogo (kama majira...
leo nimeamua kuacknowledge baadhi ya wanamajamvi ambao kwa njia moja au nyingine wamekuwa ni role model wangu tangu nilipoingia jf, ntataja baadhi tu ambao watawakilisha wengine kwenye majukwaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.