JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
mama alitoka job, kuingia tu ndan mwanae mdogo kampokea na kumwambia mamy subr nikuammbie kitu, mama akamkatisha, akamwambia utaniambia baadae coz saa hz naenda kupika, akiwa anapika mtoto...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Kunyoa kipara?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimekuwa mfuatiliaji wa JF kwa miaka kadhaa lakini nimeamua kujiunga leo. Nimeona ni utamaduni mzuri kusalimia kwanza kabla sijachangia jambo lolote. Nawatakia siku njema. MD
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Wana Chit Chat niko vey serious juu ya hili.. wenye kufunga kwa maombi mnisaidie.Fungeni mniokoe na janga hili Ni muda sasa nimekuwa nikiota na do na braza mmoja ... Cha ajabu ingekuwa labda naota...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Leo Kwa haya Wanayo fanyiwa Walimu,Nasema kuna laana iko mbele ya viongozi ambayo imeweka giza katika mboni zao., nchi aliewapa tabu wakoloni mpaka kupata Uhuru alikuwa ni Mwalimu.,Heshima yao...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Babu kaenda kumtembelea mwanawe.kufika,akapewa vyakula vingi sana.akala akashiba kwelikweli.akamwambia mwanawe, "dah,nimeshiba kweli!"mwanawe akamwambia, "haya basi,wacha nikuletee TISHU."babu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kila mtu anablog yake kuonyesha hili lile why
0 Reactions
1 Replies
935 Views
Naomba wana Jf mpendekeze nchi yetu iitwe jina gani, Mungano uko ukingoni kuvunjika, jina la Tanganyika doesnt sound good na jina la Tanzania limepatikana kutokana na Muungano. (Tanga means...
9 Reactions
77 Replies
5K Views
Hivi umeshawahi kufatilia ishu hii watoto wakike wengi wa Tz wana Pass zakusafiria kuliko vidume kulikoni? Kama hujui fanya uchunguzi utajua!
0 Reactions
7 Replies
958 Views
Yangu ilianza na kukutana na Rais wa CWT,Gratian Mkoba kwa mazungumzo mafupi. Baada ya hapo nikaelekea Mahakamani kabla ya kurejea ofisini na kisha nyumbani. Kiujumla leo yangu ilikuwa poa. Wewe...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi nakumbuka mama mwenye nyumba alitoa amri ya wanaume wote wanatakiwa kukojoa wamechuchumaa kama wanawake,alichokuwaakifanya ukitoka chooni tu anakwenda kuangalia je? Umedosha japo tone la...
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Leo nipo kwenye kipindi kutoa ushauri kwa wale wenye wapenzi,wake,mahawala,nyumba ndogo,vibuzi na kuendele mpaka ufundi wa Mechi...ntawaruhusu mchague na nyimbo... Twende kazi
0 Reactions
29 Replies
3K Views
nimetua mwanza tangu juzi, kwa wanajf mlio mwanza tunaweza onana live, tufahamiane zaidi
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Jamani nakumbuka nilipokuwa mdogo kulikuwa na imani za ajabu ajabu 'streotypes' katika makabila mbalimbali sina uhakika kama bado zinaendelea.. Mfano tulikuwa tunaambiwa..ukikalia yale mafiga kwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
mke alishindwa kuvumilia alipomuona mumewe ameinamia cheti cha ndoa yao kwa mda mrefu akaamua kumuuliza. Mke: mume wang mbona ni muda mref unangalia iko cheti. Mume: natafuta expire date...
0 Reactions
0 Replies
928 Views
What are your former class mates doing now? I finished high school only a couple of years ago......Two work in...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Bia 1 = chapani 8 Kumbe ninakunywa chapati nyigi sana! :wacko:
1 Reactions
3 Replies
2K Views
mumekamuuliza mkewe: wewekutwa nzima waangalia kipindi cha mapishi,kupika kwenyewe hujui.:mkeakajibu: mbona usiku kucha waangalia movie za x na kunaanihiii hujui,nimekuliza?mimi...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamaa karudi home usiku wa manane.Moja kwa moja akazama chumbani,akafunua blanketi,akaiona miguu minne badala ya miwili aliyozoea.Jamaa akafunika blanketi taaratibu,akachukua bonge la...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
mhn...tasbiri kaongezewa....cameroon@ work!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom