JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
mama alitoka job, kuingia tu ndan mwanae mdogo kampokea na kumwambia mamy subr nikuammbie kitu, mama akamkatisha, akamwambia utaniambia baadae coz saa hz naenda kupika, akiwa anapika mtoto kaanza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mchaga na pesa ni noma; Mtoto; Mama nimemuomba baba hela ya kusuka kaninyoa nywele! Mama; Una bahati sana ungemuomba hela ya whitedent angekung'oa meno! :eek2:
3 Reactions
4 Replies
982 Views
Daaah! Maisha ya siku hizi bila mapenzi mbele hamna chochote. Haswa sisi vijana tunaendekeza sana mapenzi kuliko chochote kile. Kwa atkaye pinga kuhusu hli acoment na awe na vthbitsho tosha vya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
A river cuts the rock, not because of its power, but because it keeps going on... Remember never lose your hope... Defend and face the challenges to increase the courage, keep moving toward the...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Adhabu nyingine bana. We acha tu
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwenda tezi na omo . . . ukijibu nawe unasema methali yako
0 Reactions
122 Replies
13K Views
Leo studio tutakuwa na Mwalimu Teacher gfsonwin mtamwuliza maswali nae atawajibu na kueleza kwanini wamegoma...maswali yabebe ujumbe wa kuwakomboa walimu. karibu gfsonwin embu tuambie wewe ni...
2 Reactions
39 Replies
3K Views
Haya maisha tunayoishi leo nadhani yangekuwa matamu zaidi enzi za barua za kuandika kwa mkono na kisha kuzituma kwa posta. Facebook sijui ingekuwaje? Jf ingedhibitiwa na skrining ya shirika la...
0 Reactions
9 Replies
972 Views
Yule mke wa kada wa kile chama kinachojipambanua kwa alama ya umma na kijiko inasemekana kajifungua na baba halisi wa mtoto kamtembelea mwanae akitokea mjengoni, vipi hapo wanafanana au hawafanani
0 Reactions
6 Replies
977 Views
A man was going for a trip & the wife packed him clothes in a bag. When he was about to leave, the wife gave him a box of condoms and said, "honey take this maybe you might be tempted. "The...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Leo nikiwa chumbani nimewasikia mahaus gel wanasimuliana, eti mtoto akilia anamchoma na sindano ya kushonea kwenye utosi, nimesikitika sana, mtoto huyo sasa kama taahira.
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Boyfriend: I heard you failed in English! Girlfriend: Nonsense! Who TELLED you? Boyfriend: You see you§ñ life! Even simple English, you cannot spoke! Okay, tell me whether the following adjectives...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Watu waliokuwa kwenye msiba walimshangaa mama aliyefiwa na mmewe,wakamwuliza,mama mbona we humlilii mme wako,watu wanalia we macho makavu sana,mama akawajibu....nye acheni tu,nikiaanza kulia...
6 Reactions
74 Replies
7K Views
Duh hii ni hatari ni hapa hapa Dar maeneo ya Kinondoni,picha limeanza nilikuwa na mdada mmoja ambae alikuwa nyumba yake kama kama kawaida yangu sikuwahi kumuona wala kusikia wala kuniambia kama...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
HOW DO I LOOOOK!! DON'T BE SHy,PLEASE TELL ME EEEH!! WHAT??? AM LISTENING........................MMMH REALLY? Shukrani zangu za dhati zikwende kwa mtarajiwa wangu platozoom sehemu yeyote aliko...
6 Reactions
155 Replies
8K Views
Tuma salamu kwa uwapendao ila wawe wa jinsia.Usichanganye jinsia... Mfano..Natuma salamu zangu Kwa MadameX, Charmiglad Mymy..,
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Haya wapendwa weekend ndo imekwisha niko broke mbaya naona hii ni dark Monday kwangu mwenye kuweza kuniwezesha kama dalllas or $ 75 tu ani Pm.Mlale unono
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Toto tundu lilikuwa likisafiri na baba yake kwa treni daraja la 3, mara baada ya kuingia ndani ya behewa na kuketi, aliingia dada mmoja mzuri sana na kuketi ktk kiti kinachotazamana na toto tundu...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni kutoka kwa jamaa yangu mmoja, anauliza hivi: Ivi ingekuwaje kama bao la tendo la ngono lingekuwa linatoa mlio kama wa bunduki? "Paaaa!" Nahisi tungekuwa viziwi dunia nzima kwa sababu usiku...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
'Difenda' lililopaki hapa mbele ya Kituo Kidogo cha Polisi,Mlimani-UDSM limechoka. Mbele,kwa Dereva na maofisa wengine,pako nyang'anyang'a. Viti vyote vimeharibika. Afadhali hata nyuma kwake...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom