JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Majira ya jioni nimetulia kwenye liquor store ya mwanangu tunapata kinywaji mdogo mdogo. Katikati ya story za mtaa, ghafla akatokea binti mmoja mzuri sana mrefu, maji ya kunde na hapo nyuma...
18 Reactions
51 Replies
4K Views
Mtu anayekula Bata ni mtu anayeishi Maisha yake bila kelele, anakula vizuri, Analala pazuri Na kipato chake ni constistence. Lakini hizi wanazoziita Bata za vijana ni Anasa, haiwezekani ule Bata...
3 Reactions
8 Replies
414 Views
Mimi binafsi Sijawahi kuvutiwa na mtandao wa twitter,instagram japo nina akaunt lakini sijui nimetumia lini mara ya mwisho Sijawahi kuvutiwa na tattoo za aina yoyote Sijawahi kuipenda timu ya...
2 Reactions
46 Replies
3K Views
UKIWEKEWA NJIA MBILI 1. Njia ya kwenda pesa zilipo 2. Njia ya kwenda peponi WAPI UTAENDA? Dondosha comment
0 Reactions
7 Replies
269 Views
Kama mada inavyojieleza hapo juu Kuna Mambo tunayaona, Kipindi cha nyuma hapo miaka ya 2000 kurudi huko Karne ya 20 si rahisi ukute mwanamke ameanika chupi nje lakini siku hizi ni kawaida Sana...
0 Reactions
8 Replies
760 Views
Sio kila muda tuwe tunakuwa serious sana, acha tuburudike kidogo. - Kondoo anapigana na radi na radi inapigwa. - Radi itakupiga ukivaa nguo nyekundu.
18 Reactions
229 Replies
9K Views
Imezoeleka kwamba wanawake pekee ndo wanaotakiwa kujipendezesha na Kung'aa. Wanaume wengi wanapenda kujikeep wasafi na wanapenda kung'aa kama Ladies ( I mean kuwa na ngozi nyororo) lakini hawajui...
0 Reactions
41 Replies
105K Views
Ni ipi tabia ambayo unajua zaidi ni mbaya kwa watu lakini unaipenda na ngumu kuacha
11 Reactions
168 Replies
10K Views
Mipango ya uhakika ipo mezani
2 Reactions
42 Replies
3K Views
Wajameni. Wkt nakula bia mhudumu wa bar alinitolea mpya Leo. Mimi. "Wewe dada lete Serengeti lite, na konyagi. Gras iwe ndefu tafadhali" Mhudumu. - Huyo akaenda akaja na bia Serengeti baridi...
1 Reactions
18 Replies
875 Views
Ikiwa weekend ndio imeanza mi nimeona ni share hii mada, maana mi nnapo kunywa pombe hasa pale nnapifikisha chupa ya 12 hua naanza kuchukua namba za simu za warembo wanaokatiza mbele ya macho...
16 Reactions
992 Replies
39K Views
Nimewekeza Kwenye biashara ya swimmingpools na ninawakaribsha wote kwa ajili ya kufurahia maisha.. ipo maeneo yanaitwa Dege kigamboni
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Awali ya yote nipende kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kuniwezesha kukamilisha ndoto zangu. Pili napenda kuwashukuru wadau wakubwa humu jukwaani kwa support kubwa ya mawazo tangu...
37 Reactions
110 Replies
6K Views
Habari za mausiku, Mmelala sio, mkiamka mtaikuta. Jana nilianza safari kutokea Tukuyu kwenda Tanga. Tukuyu, Busokelo ndani ndani huko. Ipo changamoto ya usafiri ya hatari. Na kama unavyojua...
2 Reactions
11 Replies
638 Views
Mambo ya upako hayo.
13 Reactions
66 Replies
3K Views
hawa wanawake wenye majina ya Irene.. ni kwikwi.😎😎
0 Reactions
1 Replies
338 Views
Ni kawaida yangu kurudi nyumbani kuanzia saa 3:30 usiku, ila leo nimelazimika kuwahi kurudi nyumbani (saa 1:00 jioni) kutokana na sababu zangu binafasi. Kwakweli ni siku nyingi sijaangalia...
12 Reactions
74 Replies
3K Views
Ujue nimekua nikionewa sana kisa nina blue tick ( Varified ) Ndugu zangu juhudi tu na bidii zangu zimeonekana huko majuu huko🫣🫣🫣 sio mimi ninae toa varification, tusichukiane, tupwndane plz πŸ™πŸ»πŸ™πŸ»...
1 Reactions
8 Replies
403 Views
We angalia tu around you. Watu wenye akili wanatengwa na jamii. Inawaona wanajisikia au wajeuri au wana majidai. Sababu kwa asilimia 90 jamii ina wendawazimu wengi kuliko wenye akili. Mi najiona...
8 Reactions
74 Replies
2K Views
Familia yenye watoto 9 wakike 6 wote masista wakiume 3 wote mapadre [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
23 Reactions
85 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…