Heri ya mwaka mpya 2016 wanaCC....
Kichwa cha habari chahusika saana.....
Ukipita hapa naomba uitike ili tupate kufahamu uwepo wako wewe member wa CC katika mwaka huu wa 2016...
Ni jambo la...
Wakuu, kheri ya mwaka mpya.
Upande wangu mambo hayapo sawa, ni siku ya kwanza ya mwaka lakini tayari nimeshajichanganya. Nijipange tu upya kwa mwaka 2024 maana mwaka huu ndio basi tena.
Binafsi nilishanazwa na kushindwa kuzuia mgao wa maji na umeme pamoja na kuwa imepita miaka 61 ya uhuru na bado hatuna suluhisho kwani hata mwakani ukame ukija bado tutakosa maji na umeme.
Wewe...
Ndo kwanza bado tarehe 2 ila tumeanza kusikilizia maumivu ya huu mwezi unaoitwa NJAANUARY.
Kuna jamaa yangu anasema afadhali wale wasio na pesa siku zote washazoea ugumu wa life ila kama umezoea...
Habari wadau!
Kautafiti nilichokafanya nimegundua kila mlevi na mnywaji kuna nyimbo huwa anaipenda kuisikia pale pombe inapokolea au anapokuwa anakunywa.
"Nainua mkono mama kitambaa...
Happy new year 2023 to you all Wanabodi.. Heshima mbele!
Tuliopo viwanja muda huu na wake zetu, mchepuke n.k tujuane hapa na kiwanja ulichokaa huku unamwagilia moyo.
NB: Ada za watoto kulipa...
Yaani makubwa haya kama hujui kuna mengi ya ajabu sana kwenye hii dunia.
Kuna wakati unashangaa Lakini ndio ukweli wenyewe. Binadamu ana namna mbalimbali za kujippatia Riziki.
Utakuta vishoka...
Jana usiku nilikuwa zangu tu nipo kitandani nimelala, sasa mimi nilikuwa na exgteytion yangu mkononi, Mara nikasikia baba huyo mwanangu panda bus basi na treiont mimi nikajiuliza hivi huyu mimi au...
Mimi nimeona "gratitude" "money" "connection" na "health"
Tafuta hapa chini Kama una macho mazuri[emoji116][emoji116][emoji116]
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
My wishes for you are not limited to just the next year but to all the years that you experience in your lifetime and in your reincarnations!
Have a fun-filled, smashing, rocking and happening New...
2023 mtaniambia mliyoyafanya kuufungua mwaka 2023, namaanisha mtaniambia mkesha wa mwaka mpya ulikuwaje.
Naombeni mfungue mwaka kiutakatifu, mkiuchafua kwa shahawa zenu hizo basi mjiandae kuuanza...
Samia nimeona nikujibu huku mama.
Asante ujumbe wako nimepata, familia yangu imefurahi sana nimewasea ujumbe. Nachukua nafasi hii mimi na familia yangu kukutakia heri ya mwaka mpya pia karibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.