JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Huwa wanafunga saa ngapi hawa mwendokasi?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani naweka booking, katika muda huo. Nitaweka uzi wa kuwatakia heri ya mwaka mpya wanaJF wote. Pia nitaandika malengo yangu ya mwaka 2023. Naweka booking ili mtu asije akaniwahi kuweka similar...
2 Reactions
7 Replies
373 Views
Mungu wao anataka waabudu wakoloni kama Mungu, wakati ni shetani tu atakaye kuabudiwa kama Mungu, na ni marafuku kutaka kufanya hivyo amri ya Mungu wa kweli yasema. Bonge la movie ya kichekesho ya...
1 Reactions
3 Replies
439 Views
Hebu tuambie umetumia ipi kati ya hizi au tuwekee picha ya ambayo uliitumia 1.2.3.4.5.6.7.8.9.10.11.12.13.14.15.16.17.18.19.20.21.22.23.24.25.26.27.
0 Reactions
1 Replies
425 Views
Baada ya kufika Karagwe na kukaribishwa na warembo, leo nilimtembelea mzee mmoja ili kuchota busara zake maana mimi ni mkazi mpya. Ushauri wake ulifanya niamini kuwa yule ni kijana wa hovyo aliye...
3 Reactions
11 Replies
870 Views
Mkiwa Kwenye party ile mida ya kujiphotoa jisogeze karibu ya mkaka au mdada ambaye Ni crush wako Kisha muombe apige nawe picha kwa kutumia Simu Yake. Ili kufanikisha Hilo kwa urahisi, Zima Simu...
6 Reactions
52 Replies
2K Views
1. Mlete mzungu 2. Trab na trat 3. No mara waaa 4. Mwamba huyu hapa 5. Wanathiiimba 6. Ndoige 7. Niite mbwa nmekaa pale 8. Kumwagilia moyo 9. Kupaka maini rangi 10. Unaupiga mwingi 11. Afutatu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wote tunajua jinsi wanawake wanapenda kusifiwa, lakini katika harakati zangu za kusaka maisha huku na kule nimegundua wanaume wengi wanapenda sifa zaidi, tena wakati mwingne wanatafuta sifa kwa...
2 Reactions
4 Replies
609 Views
Hei, vipi!!?? Mungu atapaa chini lini wenye hayo maluelue na kumsuburi wapae naye mbinguni na kuwalisha duniani kimiujiza bila kufanya kazi, WAKATI MUNGU WA KWELI ANASEMA, ASIYEFANYA KAZI NA...
1 Reactions
0 Replies
374 Views
Haya maisha yasikieni tu, mwezi wa 12 huu kila kitu kimebana. Yaani ukiweza kuvunja huu mnaso, wewe hata bikira hazikusumbui. Pesa haipo kabisa.
7 Reactions
17 Replies
552 Views
😁 1. Haji Manara 2. Haji Manara 3. Haji Manara 4. Haji Marana 5. Haji Manara 6.Mwijaku 7.Baba Levo 8. H.Baba 9. Aristote 10. Lokole Hawachawa wanasifia mpaka wanakera, Kwa nini siku hizi kuwa...
4 Reactions
10 Replies
893 Views
Kuna watu wengi humu wapweke sana. Na wengi wana matatizo ya akili. Wengi sana. Kuna mtu utakuta kiakili anaamini anasemwa yeye tu kumbe ndo afya ya akili ime-shake hapo. Anakuja kuanzisha uzi...
29 Reactions
95 Replies
4K Views
Napenda sana uandishi wako na uwasilishaji wa nyuzi zako hakika umestahili kuibuka mshindi katika Jukwaa hili nina mengi ambayo nimejifunza kupitia nyuzi zako, hasa tiba ya Chumvi hongera sana ila...
5 Reactions
15 Replies
976 Views
Sasa naelewa kwanini alisema tumuombee, alijua Maadui zake na mbinu zao, yeye akajikabidhi kutetea wasio na nguvu. APUMZIKE KWA AMANI!
22 Reactions
56 Replies
2K Views
Hellow WACHAGA WATANI ZANGU KWANINI MNAOGOPA MAHITI TUJUZENI LABDA KUNA SIRI NDANI YAKE [emoji120][emoji120][emoji120] Samahani kama nitakuwa nimewakwaza
0 Reactions
15 Replies
642 Views
Habari, Inatia aibu na hasira kukuta mtoto wakiume yupo anatembea njiani anakula andazi, mara embe, mara ice cream, tena ukwaju analamba ukwaju bila aibu mbele ya wanaume wenzie, sio vizuri...
9 Reactions
58 Replies
2K Views
Wakati huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka umenifanya nikumbuke nilivyokuja Dar kwa mara ya kwanza ilikuwa 2016.
2 Reactions
59 Replies
2K Views
Kweli wachagga nouma, vyuma havijakaza Safari Kwenda Kilimanjaro iko pale pale, Ndafu na Mbege tele Machame, Kibosho, Marangu na Rombo Heri ya Christmas Watanzania! Wachagga wanamuunga Mkono JPM
5 Reactions
27 Replies
7K Views
Back
Top Bottom