Jamani naweka booking, katika muda huo.
Nitaweka uzi wa kuwatakia heri ya mwaka mpya wanaJF wote. Pia nitaandika malengo yangu ya mwaka 2023.
Naweka booking ili mtu asije akaniwahi kuweka similar...
Mungu wao anataka waabudu wakoloni kama Mungu, wakati ni shetani tu atakaye kuabudiwa kama Mungu, na ni marafuku kutaka kufanya hivyo amri ya Mungu wa kweli yasema. Bonge la movie ya kichekesho ya...
Baada ya kufika Karagwe na kukaribishwa na warembo, leo nilimtembelea mzee mmoja ili kuchota busara zake maana mimi ni mkazi mpya.
Ushauri wake ulifanya niamini kuwa yule ni kijana wa hovyo aliye...
Mkiwa Kwenye party ile mida ya kujiphotoa jisogeze karibu ya mkaka au mdada ambaye Ni crush wako Kisha muombe apige nawe picha kwa kutumia Simu Yake.
Ili kufanikisha Hilo kwa urahisi, Zima Simu...
Wote tunajua jinsi wanawake wanapenda kusifiwa, lakini katika harakati zangu za kusaka maisha huku na kule nimegundua wanaume wengi wanapenda sifa zaidi, tena wakati mwingne wanatafuta sifa kwa...
Hei, vipi!!?? Mungu atapaa chini lini wenye hayo maluelue na kumsuburi wapae naye mbinguni na kuwalisha duniani kimiujiza bila kufanya kazi, WAKATI MUNGU WA KWELI ANASEMA, ASIYEFANYA KAZI NA...
😁
1. Haji Manara
2. Haji Manara
3. Haji Manara
4. Haji Marana
5. Haji Manara
6.Mwijaku
7.Baba Levo
8. H.Baba
9. Aristote
10. Lokole
Hawachawa wanasifia mpaka wanakera, Kwa nini siku hizi kuwa...
Kuna watu wengi humu wapweke sana. Na wengi wana matatizo ya akili. Wengi sana. Kuna mtu utakuta kiakili anaamini anasemwa yeye tu kumbe ndo afya ya akili ime-shake hapo. Anakuja kuanzisha uzi...
Napenda sana uandishi wako na uwasilishaji wa nyuzi zako hakika umestahili kuibuka mshindi katika Jukwaa hili nina mengi ambayo nimejifunza kupitia nyuzi zako, hasa tiba ya Chumvi hongera sana ila...
Hellow
WACHAGA WATANI ZANGU KWANINI MNAOGOPA MAHITI TUJUZENI LABDA KUNA SIRI NDANI YAKE [emoji120][emoji120][emoji120]
Samahani kama nitakuwa nimewakwaza
Habari,
Inatia aibu na hasira kukuta mtoto wakiume yupo anatembea njiani anakula andazi, mara embe, mara ice cream, tena ukwaju analamba ukwaju bila aibu mbele ya wanaume wenzie, sio vizuri...
Kweli wachagga nouma, vyuma havijakaza
Safari Kwenda Kilimanjaro iko pale pale, Ndafu na Mbege tele Machame, Kibosho, Marangu na Rombo
Heri ya Christmas Watanzania!
Wachagga wanamuunga Mkono JPM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.