hali zenu wanajamvi, kwa majonzi mazito nasikitika kutangaza kuwa ntakuwa naonekana jamvini kimachale cos nimepigwa ban na ofisi kutotumia internet ktk ofc hiyo. kiukweli ntawamis, hasa...
kwanza kabisa niwashukuru wale wooote waliopendekeza nibadilishe MY AVATAR cacico, charminglady, FirstLady1 na wengineo waliochangia kwa maandishi Bishanga, Judgement, Erickb52, platozoom...
Habari zenu wana jamvi mimi nim kaka natafuta chat friends wanao ishi morogoro. Chatting ni hobby yangu kubwa especially with the opposite sex sababu za kupenda opposite sex ni nyingi ila kwa...
Mtoto aliokota condom iliyo2mika,mama yake akamwambia 2pa hiyo chafu.mtoto akamjibu na2pa lakin UJI wote uliokuwepo ndani nimekunywa cjakubakizia MAMA HOOII.
kweli ktk hi dunia kuna majabu sana na ukiambiwa kua uyaone usidhani maghorofa! ni majabu ya watu hapa duniani.jamaa moja adaiwa kuwa mwzi,kbaka.mdokozi sugu hapo mtaaa mbya zaidi aliwasumbua watu...
Hivi kwanini mnakua hamuelewi pale mwanamke anapokwambia tiari anampenzi wake, jamani mnakela yani mtu anang'ang'ania tafikiri aliambiwa nimezaliwa kwa ajili yake.!!!
Leo ni siku ya uvaaji chupi duniani.
Watu wote wanasherehekea kwa
kutaja rangi za chupi aliyovaa leo.
Je yako ina rangi gani?
1. Ukikaa kimya maana yake leo
hujavaa. 2. Usipojibu kwa...
Inawezekana rangi ya zambarau ndio iliyotangulia kabla ya tunda,ndipo yalipokuja haya matunda wakayaita kutokana na kufananishwa na rangi ya zambarau.! pia matunda yanawezekana kuwa...
Ms*nge kapangisha mashangingi katika nyumba yake. Kodi ilipowashinda kulipa,****** akawaambia"nyoo mna tundu mbili kodi yawashinda, mimi nina moja tu nimejenga!
Wenzangu na mie wenye domo zito lhawawezi tongozo lakini hatari hao wakikamata keyboard wanashusha mistari kama kasuku hapo mlimbwende wa jf lazima aingie laini na guess nini kitafuata? Ni kidate...
Je, hujashuhudia mwanaume/mke anaacha mke/mme mzuri nyumbani na kwenda kutembea na mwanamke/mme ambaye ni garbage?
Je, uzuri wa mwanamke/mme ni sura au elimu yake au kiwango cha hisia na muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.