Jamaa alikuwa anamkoleza demu moja hivi, ilikuwa ni mara ya kwanza, jamaa kwa mbwembwe akajifanya kumsifia demu.
Jamaa: Best kitu yako ya moto!!
Demu: Wengi tu wanasema ivo.
Kuna jamaa alipata ajali mbaya sana kwa bahati nzuri hakufa sema bajaji ilimbana kwenye mti na kumfanya azimie.Watu walikuwa wanapita bila kumpa msaada unajua kilichomponza ni nini?Kwenye bajaji...
Ulimwenguni kuna bilions of matukio at a sekunde. Hebu ripoti tukio unalolishuhudia sasa mahali ulipo, liwe dogo au kubwa, iwe nyumbani, barabarani, ofisini, nk. Mi hapa namwona boss wa ofisi...
Nikiwa na hasira moja ya dawa zangu ni hii, sjui wewe. Cheka uongeze uhai heheheeee
<iframe width="420" height="315" src="http://www.youtube.com/embed/yx47i6-aVms" frameborder="0"...
Dah, nimeamua tu kujipongeza kwa post ya 15,000
Afu bana, mapost meeengi rep power kidogoooo
Ni sawa kuwa na kichwa kikubwa afu napata F
Muwe basi mnaniona ona nyie mnaosahihisha mtihani japo...
jamaa anakua bussy napi ni msauluvu siku moja akajisau hata yeye mwenyewe kama mi mwanmke au ni mume ikabidi kwanza ageuke pembeni the ajichungulie ndipo akagundu yakua yeye ni MUME
"Unaitajika ushauri wako katika hili mwanajf:
katika familia moja iliyodumu
kwa muda mrefu pasipo
mtoto,wakiangahika huku na kule ili wajue nini na nani ni chanzo.
Na baadaye madaktari...
wamasai-ulinzi,utembezaji wa dawa za kienyeji
wamakonde-ulinzi wa nyumba zisizoisha,uuzaji wa nguo za mitumba.
wachaga-uuzaji wa pombe na nyama ya nguruwe(kitimoto).
wapemba-uuzaji wa Vyuma...
Wadau nimefungulia Radio One kwa bahati mbaya,
nimekuta mpambano wa Bonge Flavour, Mh Sugu na Prof jay.
Aisee, Old Skool nimekumbukia, sasa Sugu anasaema amekaa muda mrefu, yuko na Jide...
Eti kwa aina hii ya ndevu wengine huvutiwa zaidi! Wanaume wamekuwa wakijiuliza je, ni vizuri kunyoa ndevu kipara kabisa au kuziacha zikue na kuwa mzee madevu?.
Je, nitaonekana navutia nikiwa...
Habari za hapa wanajamii?mimi ni njuka humu ndani lakini ni mbabe kwelikweli..natumini wote mko vizuri,,nawatakia ufanisi katika shughuli za ujenzi wa Taifa
Siku ya pili tu ya mfungo ameutandika mtindi......kweli sikio la kufa halisikii dawa, kama si Mamndenyi kuazimwa toroli na Kimbweka leo tungezungumza mengine
NDOA NDOANO! Mtu na Mkewe walikuwa wamelala, katikati ya usiku Mke akaweweseka "Wewe amka tena uondoke Mume wangu anakuja" Mara Mume ghafla akakurupuka akanyakua nguo zake na kurukia dirishani...
Jamani mi ile tatoo ya Aminata9 inanitoa roho, sijui wengine mwaonaje
Leo nimeamua kuanza na kadogo, pole pole nitaongeza mgongo wote
Hapa nikiwa milimani city, with my new outfit: naonesha kidogo...
Kwetu usukumani watu hualikana kwa zamu kulima shamba la kila mmoja.Ili kupeana motisha,watu hupewa pombe na nyama ya kutosha.Kule kwa wakurya watu hupewa nyama choma na BANGI ya kutosha kama motisha.
Dah. . .kweli kijijini kutamu na kuchungu.
Niliwamiss, alafu nikawamiss, kabla sijakaa vizuri nikawamiss zaidi. Sema ndo hivyo tena kijijini mambo mengi kweli. . .yani hujakaa vizuri kuna...
Wiki nzima mnatuvalia mavazi ya kututega. Tumeamua kuja kutubu dhambi zetu za kutamani, huku nako mnakuja na vimini vyenu na visuruali vya kubana! Tukimbilie wapi sie? Wengine miguu yenu kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.