Eti inasemekana kuna mtu kwenye ajali ya juzi ameokolewa na busha lake.alipoanguka kwenye maji tu likaelea kama boya na kumwezesha kuogelea kwani lilimsaidia asizame itabidi na mimi nifuge busha...
SAKATA la ndoa ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibroad Slaa na mchumba wake, Josephine Mshumbushi limefichua siri mpya kuhusu maisha yao ya kimapenzi...
Chukua 259 zidisha kwa umri
wako, jibu utakalopata zidisha
kwa 39, utapata tarakimu sita,
katiaka kila tarakimu mbili
itaonyesha umri wako.
(Proches J, 2012).
Vichwa hivi tunavyo, tunavitumia kufikiri si kufuga nywele lol
aisee, alikuwa akimjibu Lissu.
Napenda mipasho jamani, hivi wazazi si wangenisomesha taarabu tangu nikiwa pureimari saa hivi...
Jamani wana chit-chat,Hivi ni kwanini babu kipara huamka usingizini?
Mfano mzuri unapokurupuka usiku kwenda kupata Haja ndogo yani unakuta babu kasimama alafu jicho moja limetoka mbaya,Nini...
Haina ubishi katika hili , tunao members wengi wanaojihusisha na "mpango wa kando"
Btw niliyowalenga hapa ni wale wenye style, ya kuipumzisha mipango hiyo kuupisha huu mwezi wa mfungo, na mara...
Wapendwa wanaJF wenzetu.
Napenda kufikisha salamu za upendo na kheri kwenu wote mnaotarajia kufunga kwa mwezi mtukufu.
Tunawatakia Mfungo Mwema kwenu na familia zenu.
usione sipatikani humu jukwaani jamani haya ni mahanjamu na malavidavi ya mtoto wa kitanga beibe nasty ... kaniita kwake tokea wiki mbili zilizopita, napikiwa, naogeshwa, nabembelezwa, nabebwa ka...
hivi ingekuaje kama siku unaamka ghafla unajishtukia kwamba gender(jinsia) yako imebadilika.!!! kama ulikua me unakua ke na kama ulikua ke unakua me, emh tuelezane ungelia, ungefurahi...
tembo alikuwa akisumbuliwa sana na kupe sehemu za siri kwa muda mrefu sana ,akaja ndege mwenye njaa akawala wale kupe wote na mfalme Tembo akafurahi sana sana akamwita ndege akamwambia unataka...
HIVI KAMA UNGEKUWA WEWE UNGEFANYAJE?.,.,., babu yako ndio alikuwa anataka kukata roho akakuita wewe ambaye ndiye mjukuu wake akakupa wosia huu hapa "mjukuu wangu kipenz mimi ninazo milioni 800...
Ni kawaida katika mazungumzo kusikia watu wakisema..
'nimepata bonge la 'shangingi'
au mke wa fulani 'shangingi la kufa mtu'
au mitaa ya sinza kuna 'mashangingi ya ukwel'....
na hata wanawake...
Mimi Nyani Floribert Nzagamba wa Ngabu, napenda kuchukua fursa hii kuutangazia umma wa Jamiiforums kuwa sina beef wala ugomvi na yule bilionea wa Kihaya, Bishanga Biakabutuka wa Abashaija.
Kama...
Ewe "MOLA" natamka mimi ninaye soma hapa kwa kauli yangu mbele yako "MOLA" kwamba sito VUNJA JUNGU! Na endepo nitashawishiwa basi hapo hapo kama ni kitandani, uchochoroni, baa au pengine popote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.