Ni aje wana jamvi,najua katika mambo ambayo member anaweza kuyafanya hapa jamvini ni pamoja na kuanzisha thread,kuchangia/ku comment kwenye thread flani, kugonga LIKE kama umekuwa impressed na...
Sijui kwanini nimeona nikuwish wewe tu, ukiwakilisha waislamu wote safi humu jamvini (sio kama lile lijamaa, if you know what am I sayin), nikutakie dada Mwali funga njema na yenye thawabu, since...
Ki2ko cha mwzi wa tv jamaa1 ali iba Tv akaibeba akaanza kukimbia nayo kumbe kwenye ile nyumba kulikuwa na mgonjwa wa akil akaanza kumkimbiza, yule mwzi kila akiongeza mbio na mwenzie huyu...
Baada ya miaka michache ijayo nadhani lugha za makabila mengi zitakufa kama si kufutika kabisa.
Kwa mfano:
Wewe umezaliwa Dar ila origin yako wewe ni mtu wa songea ukakuwa Dar ukasomea...
bongo ukisikia watu wanamzungumzia mtu anayekula bata basi ujue ni wale mapopo ambao hawalali usiku wa manane!kuna wabishi wanakula bata zao ndefu tena mchana kweupe!wengine kujifungia ndani ndo...
Leo ni siku ya uvaaji chupi duniani.
Watu wote wanasherehekea kwa kutaja rangi za chupi aliyovaa leo.
Je yako ina rangi gani?
1. Ukikaa kimya maana yake leo hujavaa.
2. Usipojibu kwa maandishi...
Hawa wote ni vijana machachari ndani ya ccm, kwa maoni yako ni nani kati ya wawili hawa ni kiongozi bora mwenye heshima mbele ya jamii kwa uwezo mkubwa wa kujenga hoja na ni mfano wa kuigwa na...
Wanajamvi last week nilienda kule,nashukuru kwa kampani ya Cacico,Bishanga,Preta,Gwangambo,Erickb52,switlady na wengineo,but the mission was un accomplished,tommorow i'm going back there na safari...
Wandugu, nipo nafanya arrangements za kufanya utalii wa ndani around mid August. Idea ni kutembelea mbuga yoyote ya wanyama - kwa mara ya kwanza.
Nipeni uzoefu wenu.
Mbuga ipi ntafanikiwa kuona...
hali zenu wanajamvi, nliwah kusikia kwamba watu wenye nyota moja hawawezi kuwa marafiki ama hawawez kuwa na mahusiano ya kudumu. mf. wa nyota moja ni wale watu waliozaliwa mwez m1 kama walozaliwa...
Mwanamke alirudi nyumbani amelewa, mambo yakawa hivi:
Mume: Yaani umenyweshwa tena pombe na wanaume?
Mke:Wewe gari ushawekewa mafuta kazi kwako kuendesha, wasiwasi wa nini?
Kichaa mmoja alipanda juu ya mti wa maembe,akiwa juu mara akajiachia na kudondoka chini,jamaa mmoja aliyemwona akamfata na kumuuliza kulikoni?
Chizi akajibu; nahisi nimeiva,niokote kwa matumizi...
NIKO bandarini hapa Malindi, nimemkamata Mchina mmoja akiwa na mkoba mmoja mkubwa sana, nimemsachi nimemkuta na mavuzi kama kilo 7 hivi. Nimemuhoji amesema kuwa anayatumia kama mboga, kasema...
Nimepotelewa na ndugu yangu
Kabira ni mkurya
Rangi ni mweusi kama chungu
Ni mfupi kimo cha mbusi
Hana jinsia yeyote
Jina lake... Nyabhikwabhe Bharangambagamba chengisorichiraheta, mara ya mwisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.