Were all for rape prevention, but when you [JF woman] cant stop the crime, why not score immediate payback with the help of a little latex and some barbed plastic? Thats the idea behind [my new...
Utafanya nin kama umeitwa
kusawazisha
mgogoro huu? Siku ya ijumaa
john aliamka mapema
kuliko kawaida na kujiandaa
kwenda
kazini. Siku hiyo alikuwa
anahitajika
kazini mapema kuliko kawaida...
Wapendwa wana JF
Kwa kuwa baba wa wamatwins hajulikani na baada ya mchakato wa kupata baba wa kufikia wa TWINS wa Erotica kuwa mgumu, tumeamua (mimi and my love Erotica) kuwa mimi niwe mzazi...
Mwezi bado haujaandama kwa mujibu wa Mufti,mfungo unaanza kesho...so leo tunamalizia kuvunja jungu wadau...tupeane ayo maujanja wakuu tunavunja jungu wapi na kwa staili gani.
jamaa mmoja msahaulifu sana,siku moja alikwenda mgahawani kupata staftahi akawa ana hamu na mayai sasa akawa amesahau yanavyoitwa.Akafikiriaa weee akawa hakumbuki.ikabidi aseme haloo hebu nipatie...
Msegeju ana ng'ombe
Nami nna ng'ombe zangu
Namwambia tuchanganye hataki
Kwa heri nenda zangu
Kataaa kata
Kata Kaunga kata
Kiuno chako mwenyewe
Kata Erotica kata
Kata Zinduna kata...
The reason you still can't stop lovin', that person although you know Unaemng'ang'ana HAKUTAKI, if it's She or He.
That it means your subconscious mind didn't fully accept wht happened...
sipho; dr i have a problem of forgetting
dr; when did the problem start?
sipho; which problem..?
mimi nilikua na swali hivi watu kama hawa ni nani anawatibu na wanatibiwa kwa patient...
morning guys
Hebu mnambie ni kitu gan wewe mwana jf unakipenda kukifanya au huwa unakifanya mara kwa mara yan kilasiku lazma ukifanye na pia unaeza fanya mara nying sana kwa siku na huwa...
Thismemo is to announce the development of a new software system which will be Year2000 and beyond compliant. This program is known as "Millennia YearApplication Software System" (MYASS)...
JAMAA MMOJA ANAPENDA SIFA SANA SIKU MOJA ALIKUWA NA WENZAKE WATANO WANATEMBEA,WAKATI WANAANDELEA KUTEMBEA WAKAFIKA SEHEMU PANANUKIA SANA PILAU.WALE JAMAA WANNE KWA PAMOJA WAKASEMA DUH!AISEE HAPA...
Gereza la kazaroho,
S.L.P.1107,
MAREKEBISHO,
.
Wapendwa wazazi wangu,
Leo ni siku ya nafuu kwa wafungwa vijana. Nimepewa robo saa ili niwakumbukeni kwa barua. Nami bila ajizi...
Ili kupunguza idadi ya wanaJF kupigwa pini /ban mara kwa mara, nashauri lianzishwe jukwaa la kuyaporomosha yote ya moyoni dhidi ya yeyote yule awe kiongozi, msanii,..etc coz kuna watu wanakera...
(Reuters) - The dingy corridors and gloomy wards of a long-abandoned Saudi Arabian hospital have drawn hundreds of amateur ghost hunters who believe it to be haunted by jinn, the malevolent...
Ni maneno ya waziri wa elimu Mutula Kilonzo! eti kadai wale mabinti hawajaenda shuleni kusomea u sister,hivyo waachwe kuvaa vimini vyao kwa kuwa waligomea masomo kwa kukatazwa kuvaa vimini vyao! mwee!
Umewahi kukutana na mtu mkabadilishana namba za simu
ukajuuta?
asubuhi anapiga,mchana anapiga,jioni anapiga usiku anapiga...
usipokea anakuuliza why hukupokea as if ni lazima upokee
sms...
Jamaa watatu walienda kuomba tenda ya kujenga uzio wa nyumba ya serikali,
MJENZI 1: Mimi naweza kujenga uzio kwa shilingi milioni 2, vifaa milioni,wajenzi laki tano na mimi nitapata faida laki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.