JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hii mitihani sio mizuri kabisa maana nimewamithi mpaka basi... Lipi jipya humu??
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Baba: Unamjua Edward Sokoine? Mtoto: Hapana Baba: Kenge wewe, zingatia masomo yako! Mtoto: Sawa baba. Na wewe unamjua John DungaDunga? Baba: Simjui. Mtoto: Kenge wewe, zingatia ndoa yako!
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mtoto:Baba mi siendi tena shule,ticha kaniambia mpaka nimtajie Kampala iko wapi. Baba:unaona sasa!mara ngapi we mtoto nakukataza kuchezea vitu vya watu,haya Kampala ya mwalimu umeiweka...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
jamaa alikuwa anatembea mara akahisi kizunguzungu, mbele yake akamuona mzungu ikabd amfuate amuombe msaada alpofka akamwambia. 'hey can u help me coz i feel ENGLISH ENGLISH'
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamaa alienda kwa mchungaji kuungama... "Nihurumie Mungu wangu, nimetenda dhambi nyingi saana..." Mchungaji: "Mwanangu, usihofu... Mungu ni mwenye huruma saana... Atakusamehe tu..." Jamaa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hebu tukumbushane vitu/topic au maneno ampayo yanachekesha ukiyatamka kiswahili kipindi kile tunafundishwa shule ya msingi lakini yanamaana nzuri kwa kingereza.. MFANO: 1.Mwendokasi mtoroko =...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
...*Nothing Serious...much greetings ...let's have fun. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
0 Reactions
6 Replies
958 Views
Nimekumbuka baba wa taifa-RiP-nyerere Vox populi,vox dei
0 Reactions
2 Replies
676 Views
Nyie watanzania nao muna matatizo wkt mwingine, mnawakataza madaktari wasigome ili iweje? Mtawalipa nyie hayo malimbikizo? Imagine we unayekataza mgomo ndo ungekuwa daktari ungefanyaje? Fikirien...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Bwana mmoja ambaye alikuwa na wivu sana wa mapenzi kwa mke wake siku moja aliaibika.Bwana huyu alitoka safari na kurudi nyumbani, alipofika nyumbani moja moja alienda chumbani kwake kwa lengo la...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sina jinsi wana jamvi nisaidieni,daktari kaniambia tiba pekee nilale shuka moja na mwanamke mwenye macho ya KICHINA,wadau mnanisaidiaje????????????????????????????
3 Reactions
49 Replies
3K Views
Hii ni kwa sababu ambazo alizitoa chumbani zisizo na msingi! kumbe amenisaliti na ....... watajitaja..... SITAKI TENA NAKWENDA KUSOMEA USISTAAAAAAA NB: SITAKI USUMBUFU WA AINA YOYOTE KUANZIA...
2 Reactions
51 Replies
4K Views
Sasa wakati natoka ndo nikaiona ile picha,barabara yote ikawa haipitiki maana hata ubao ulikua hautoboki kwa msumari,na kalamu zimemwagwa zote juu ya mnazi.ile nachukua chaki tu Daktari akawa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Anaonaekana wa masaki tabia za kiswazi
1 Reactions
39 Replies
2K Views
....kushindwa kuthibitisha kwamba wewe si dhaifu....udhaifu ni kujifanya uko siriaz wakati uko jukwaa la utani...udhaifu ni kujifanya unapinga ufisadi wakati umekosa nafasi ya kufisadi....
0 Reactions
0 Replies
900 Views
Ukimkuta mtu mzima kwenye kioo pekeyake ndo utajua kuwa kila mtu anakichaa.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimeiona hii leo asubuhi imeandikwa nyuma ya guta, 'KITAMBI BILA PESA NI MZIGO'. Wadau mnasemaje?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi ukisoma bila kuandika hilo neno ni tatizo?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwanajeshi alikuwa vitani akashika adui watatu,wote walikuwa wanawake;wasichana wawili na bibi (nyanya) mmoja. Mwanajeshi akawaambia "Punishment yenu ni mimi kufanya mapenzi na nyinyi wote"...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani!...jamani!.,jamai! Ninahitaji kuvunja mahusiano na mwanandani wangu.(nadhani anajijua).Sababu ya kufanya hivyo ninayo,Nia ya kufanya hivyo ninayo,Uwezo pia ninao......enough is enough.Mama...
1 Reactions
53 Replies
4K Views
Back
Top Bottom