naona wenzangu wiki hii ni hekaheka ya kulalamika waume kuibwa kuna umuhimu gani kuwamiliki kwa nini msiwe single wenzenu tunaruka viwanja kinoma bila pressure.mume wa kazi gani ikiwa mabachela...
Huwa nikiitazama nacheka sana maana inanikumbusha kwamba tumewahi kuidiscuss sana picha hiyo wakati tu imetoka na nakumbuka maneno ya watu........Dah walah nafurahi mie!
Thank you MadameX kwa...
Unakumbuka mwaka jana nilikwambia hivi vibarua vya watu si vya kutegemea sana kimaisha.
Katika kulijua hilo nikalazimika kufungua vijiofisi pembeni.
Nikafungu kaduka ka Stationary, Internet cafe...
Labda ni macho yangu tu.......Lakini huyu Member maarufu sana kwenye Jukwaa hili na Mahusiano..hana uchoyo kabisa linapofika suala la kugonga likes.
Tembelea tembelea thread za watu kama...
Communication from top to bottom hierarchy goes as follows:
Memo from CEO to Manager:
Today at 11 o'clock there will be a total eclipse of the sun. This is when the sun disappears behind the...
Jamaa na mkewe walikuwa wameenda ukweni kusalimia. Jamaa ana kawaida ya kulia wakati wa kujamiiana.
Mme: Mke wangu vipi leo game usiku?
Mke: Hakuna gemu leo, huoni hapa ni ugenini? Nawe una...
Mke: Vipi bwana, mbona leo umerudi mapema tena kwa majonzi hivyo...??!
Mme: Wenzangu wa ofisini wote wamefariki kwa ajali ya moto.
Mke: Mungu wangu, we umeponaje?
Mme: Nilikuwa na tumbo la...
Kwa wanachama wote (Chama Cha Mabachela wa JF).
Kupitia Kwa Mlezi Wa Chama babu Asprin.
Natangaza mapema kabisa kuwa mimi Katavi nikiwa na akili timamu, nitajitoa kwenye chama hiki ndani ya...
Nisamehe My Sweet heart honey nayekupenda….
Nilikuwa nakujaribu nione kama unanipenda
Nikajificha mbali ili nione watakaolonga
Nimerudi ulingoni nione atakaye kutenda
Usijali ya wambea...
Ilikuwa ni mida ya Jioni nikiwa home,simu yangu ikiwa kwenye charge ikawa inaita na kwa kuwa bibie alikuwa karibu akaamua kuifuata akaichukua ili aniletee lol
Kucheck jina la anayepiga ni...
Jamani Ruhazwe JR na Madame B mbona hamuonekani? Au ndo mpo kijijini kwenye kikao cha usuluhishi? Mana toka Ruhazwe utangaze kumtema bibie naona ziiiiii, au mmejipiga ban?
Bakari ni house boy.mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.
Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.