Kuna watu humu wana misemo, vichekesho, n.k na hata ukiingia JF ukiwa na hasira unawezajikuta unaangua kicheko cha nguvu hadharani. Misemo mingine ni kama trade mark kwa baadhi ya members. Kwa...
Nape majuzi alikuwa nyumbani kwao. Katika pita pita akakutana na Makonde mmoja aliyekuwa anauza vinyago. Alivutiwa sana na kinyago kimoja kilichokuwa kinafanana na panya, na kilichochongwa kwa...
Wakuu leo nimekumbuka miaka ileeee ya 80 hasa ktk swala la misosi.
Enzi hizo nilikua nikiishi na wazazi wangu maeneo ya kanda ya ziwa,tulikua tukimiliki ng'ombe kadhaa,mbuzi,kondoo na...
PLANE CRASH......
Gonaya Bodana and Mirugi Kariuki 〓10th
June 2006
Kiplalia Kones and Laboso 〓10th June
2008
... Saitoti and Orwa Ojode 〓10th June 2012
WHAT A SAD HISTORY...
Yanki katoka kwao kijijini kaja Dar katika hangaika yake akapata nafasi Bongo Movie, akapewa kipande ambacho aliekt kagongwa na gari akafa. Filamu ikasambazwa ikafika kijijini kwao mama yake kuona...
Mafisango uso kwa uso na kanumba.........!!!!!
KANUMBA: karibu jembeee,shwari?
MAFISANGO:huko duniani si shwari,watu wanagombania mali zako.
KANUMBA: Mungu wangu! Na lile v8 langu...
Jamaa wawili walimaliza mafunzo ya ujasirimali hivyo wakahadiwa kupata mtaji wa milioni 10 iwapo wangezalisha faida ya 20% kutoka katika mtaji ambao wangepewa.Basi jamaa wakachukua sh.500,000/=...
Muumini alikuwa anaungama katika kibanda cha kitubio
muunini:nimeua mtoto wa mwenzangu
padre:ilikuwaje?
Muumini: alikuwa amemlaza nikamuua
padre akachungulia kidogo akaona muumini ana umri...
At dinner, a little boy was ordered to lead in prayer by his father.
BOY: But I don't know how to pray.
DAD: Just pray for your family members, friends and neighbours, the poor, etc
BOY: "Dear...
Supasta alipopata mkwanja
akaamua kuhamia Masaki na mke
na mwanae. Siku moja mwanae
alipokuwa anacheza na manati
akavunja kioo cha nyumba ya
jirani. Supastar na mkewe
wakaamua kumfuata...
MCHUNGAJI aliitisha harambee ya ujenzi wa kanisa na ikapatikana 74,550 na waumini wakapiga makofi,mara MAJAMBAZI wakavamia na wakaamuru kila mmoja hatoe alichonacho, ikapatikana million...
Wakubwa!
Kweli mateso yakizidi wokovu umekaribia
Baada ya kuishi muda mrefu na Madame B bila ndoa,tunakusudia kubariki ndoa mnamo tarehe 20/08/2012,hii inatokana na mimi kuishi na Madame B kwa...
Mlevi karud nyumbani kamkuta mke wake kajilaza kwa bed kifudifudi huku kavaa kich*pi cha mikanda (bikini). Mlevi akacheka sana, mkewe akamuuliza "unacheka nini?"
Mlevi, "tangu nizaliwe leo ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.