JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Sijui msemo huu unaendana? Nakumbuka kuna siku nimetoka shule sijavua hata uniform nikaambiwa nikafungue ng'ombe zilipofungwa kwa malisho nizirudishe nyumbani. Kufika pale(kipori Fulani) badala...
15 Reactions
63 Replies
2K Views
Tuko kwenye msimu wa sikukuu, watu wanafurahia kuona Krismas na pia kufikia Mwishoni mwa mwaka. Lakini kuna mtu anaumizwa na furaha za wengine, katikati ya furaha anatutumia message ya...
2 Reactions
6 Replies
407 Views
Kiukweli huyu jamaa anamvuto flani hivi ambao huwezi kuuelezea. Namna yake ya uandishi na uwasilishaji wa anachokiamini huwavutia wengi. Nadhani isingekuwa sheria za JF za kulinda faragha huyu...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Kuna shimo moja liko katika kijiji kimoja mkoani Lindi ambalo sio man made ila ni shimo ambalo hakuna mtu amewahi kuingia. Ni giza tupu, inasemekana ndilo Wajurumani walilitumia kuwatumbukiza watu...
15 Reactions
22 Replies
1K Views
Mwaka ujao panapo majaaliwa yake Mungu (wa mbinguni) namuomba anisaidie uzima na afya njema niweze kufanya kazi kwa bidii ili ninunue bajaji. Naipenda sana hiyo kazi na kwa sasa ni moja ya ndoto...
15 Reactions
17 Replies
661 Views
Kipindi cha nyuma kabla kuingia internet na matorrent movie zilikuwa zinaoneshwa kwenye chaneli tena kipindi cha xmass. Leo nimekumba ITV ilivokuwa inarusha sinema ya robocop au superman. xmass...
3 Reactions
9 Replies
541 Views
Malizia hasira zako kwenye huu uzi. Ropoka yote yanayokusumbua, iwe mwenye nyumba, timu, mchezaji, mwana jf, mwanasiasa n.k
0 Reactions
12 Replies
491 Views
Tumeumaliza mwaka 2016 salama na kuuanza huu wa 2017...ni mengi yametokea ya kufurahisha kusikitisha Kuhuzunisha kukera kushangaza nk , tumewapoteza wapendwa wetu hapa nje na ndani ya forum...
70 Reactions
244 Replies
17K Views
Mimi sio mchoyo kama upo karibu hap tupige soga Hillo tu kwa leo sina mengi
2 Reactions
7 Replies
392 Views
siku ya leo na furahi kuwa na ndugu zangu wavaa kobazi ndio waliochinja.
0 Reactions
0 Replies
252 Views
No Mwaliko no invitation na mchezo ndo unaelekea mwishoni bado 0-0
3 Reactions
19 Replies
645 Views
0 Reactions
0 Replies
268 Views
Hata hii picha lazima mate yakutoke. Nashindwa kuelewa
1 Reactions
8 Replies
357 Views
Hiki kituko kilinitokea miaka kadhaa iliyopita, nilikuwa dingi tayari sema ujana ulikuwa mwingi sana hadi kujisahau🤣 lakini kwa sasa mimi ni ustaadh hizi zimebaki hadithi tu. Kuna sehemu nilikuwa...
10 Reactions
20 Replies
2K Views
Solve hii hesabu
2 Reactions
7 Replies
503 Views
Leo ni mkesha wa Sikukuu ya Noeli kwa Wakristo wote Ulimwenguni kusherehekea kuzaliwa kwa bwana Yesu Kristu. Nami nichukue nafasi hii kuwatakieni nyote Noeli njema!
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Napenda kukumbushana na wana jf kwa wale walopita kigonsera nini unacho kimisi walimu gani unao wakumbukaa Nikianza na mm nilikua pale 1991/1994 Twiga house. Nammiss sana Papalika Mlasu...
0 Reactions
46 Replies
8K Views
Hell Wana jf mpka dakika hii sijapokea mualiko wowote wa sikukuu kutoka humu ina maana wote humu jf hakuna anae nikubali ata kwa asilimia kumi [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ata wewe Mwana...
0 Reactions
16 Replies
533 Views
Cheti cha ndoa unapewa ijalishi umesoma,umefaulu wala nini ! kesi za wanandoa zimekuwa nyingi sana. watu wanapoingia kwenye ndoa makucha yao uwanza kujionesha,tabia na kila mmoja kutaka akubari...
1 Reactions
2 Replies
290 Views
Mimi kesho nasafiri kwenda Zanzibar na Mchepuko Wangu. Kurudi Dar ni Mpaka Tarehe 30.
0 Reactions
58 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…