JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Unafungua thread kama hii afu unakuta hamna kitu. Kama hapa!!
0 Reactions
2 Replies
904 Views
Ni pembeni mwa barabara ya Shekilango Sinza Kijiweni jioni moja hivi nipo na rafiki yangu............wapo vijana (wa kiume) maeneo hayo wanafanya kazi ya kusafisha na kupaka rangi kucha za...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Ndugu yangu Kimario ni mchangamfu Bana, ni anaongea, anapenda kujisifu kweli. sasa tumeamua kukusanyika tuchome ndafu yetu angalau tuburudike. Kimario si akaja Bwana, ameshajipiga Safari zake...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
nikitaka kujifuza wananiita mshamba,bas kam ndoivo waliosoma wote washamba tena maprofesa ndo washamba wakubwa,NDOMANA WACHINA WAKASEMA IF U THINK IT CN NOT BE DONE YOU SHUDNT DSTAB DA ONE DOING...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nimempenda sana huyu binti/mama. Simjui hanijui.............ukiniuliza kwa nini sina sababu. Ukiniuliza umempenda kimapenzi nitakujibu "sina hakika"....ukiniambia unampenda kama dada yako...
9 Reactions
159 Replies
8K Views
wana jf wenzangu hebu tuelezane hapa ukweli na unachofikiri. 12 years tangu huyo baba aondoke nyumban kwake alisema anaenda tafuta maisha nchi za watu huko[south africa] na alimuachia mke watoto...
0 Reactions
84 Replies
5K Views
nina mchumba angu na ana mtoto wangu mmoja wa kike aliifungua miaka mitatu iliyopita a nimemtolea posa na kumvisha pete kabisa sasa me nilisafiri mwanza kikaz ba yy kabak dar, juz niliamua...
2 Reactions
53 Replies
5K Views
Question for boys only what kind of girls are more attractive Innocent girls? Or Intelligents?
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Katika mahusiano ya kimapenzi, iwe kati ya wanandoa, wachumba, wapenzi au hata usio rasmi (wa kimalaya) lazima kwa umri wako ulishakutana na kisa ambacho hadi leo huenda imebaki ni historia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamaa wawili walikuwa wanacheza karata porini. Mara wakapita wakulima, wakasikia sauti inasema, "Weka jembe chini. Wakaweka majembe yao chini. "Weka kisu, wakaweka visu chini.. " naomba kopa...
7 Reactions
19 Replies
3K Views
Devi kaajiriwa kwenye kampuni, akiwa ndo kwanza ana siku mbili, akainua simu ya mezani na kupiga extension fulani akijua kampigia mtengeza chai; Devi: Oyaa hebu haraka leta chai Jibu: Nani we...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Mbona we una kiherehere na kisebusebu hivyo? Nyie ndo mnalogwa alafu mnalalamika. Stupi... Shen... Type! Embu funga hii thread haraka, muone na sura ka kamasi la kondoo.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Au wadau mnasemaje?
1 Reactions
246 Replies
15K Views
There are several kinds of doctors, and it is told that they can be differentiated by the following method: General Practitioners know nothing and do little to patients. Surgeons know little...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Padri alichoka kusalisha akaamua kujirekodi kwenye kanda ili kila ikifika mda wa sala anasimama na kufungulia redio. Siku 1 akaisahau ile kanda nyumbani akamtuma mtumishi wake akaichukue kumbd...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimejiuliza muda mrefu bila jibu naomba wadada nielewesheni. kuna aina ya magauni wadada wanayapenda ni marefu mpaka yanagusa chini kiasi kwamba mvaaji lazima alishikilie au apachike kwenye nguo...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Boy: Hi love Girl: Hi hun Boy: Are u free this weekend? Girl: No i hv 2 attend ma auntie's introduction & i hv bible study on Sunday Boy: Too bad.....thout i wud tek u 4 shopping this wkend Girl...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Madaktar bngwa kutoka nchi 3 walikaa kushindana mfanikio ktk nchi zao: MCHINA:Kwe2 alizaliwa mtt hana mikono,2kamwekea ya bandia na sasa ni mpiganaji karati maarufu. MJERUMANI:Aah! Iyo kdg...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
nilikua na dogo langu moja sasa tukiudhiana tunapeana malani, sasa malani yake yalikua yanachekesha sana maana hayanilengi muhusika. labda mi ntaanza kumwambia kichwa kama sufuria yake yeye sasa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Chawadika na Athuman Nyawanda walienda miembe mitano mtoni kuogelea. Chini ya mti wa msangala alikuwapo mzungu akila mafenesi. Ghafla Athuman akakamatwa na mamba na kumezwa. Chawadika akatoka mbio...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom