JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
...uko wapi nikuone MOYO wangu utulie...@Preta ...na wewe ungependa kumuona nani..ili MTIMA wako utulie...? ..Jumatatu Njema
2 Reactions
111 Replies
7K Views
I'd prefer to be in bed at home. My last words would be "Thanks very much all Jf members for the help and support you've given me through the years. I love Kaunga , Mwali ,Erotica , bht ...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwa takribani siku kumi, nilifungiwa kuingia JF, eti kwa sababu nilitumia neno ................ naogopa kulitaja nisije nikapigwa tena ban (ila ni jina la pili la Didas!) ! Mods sijui kwa nini...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hivi nyie siku mlizozaliwa mnafanyaga nini?....... damn! siku zinakwenda aisee mvi zisha anza kutoka happy b day mimi!
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Wanabodi, Puppets ni watu ambao wanaamini kila lisemwalo au lifanywalo na mataifa mabeberu ndio right hata kama ni la uongo!. Natoa darasa dogo la bure jinsi ya kujitambua kama na wewe ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
muda mchache nilikuwa garage nkashuhudia mafundi wanavyobofoa, accellerator=exleta side mirror=site mirror indicator-hendi kata steering wheel-mstelingi semi trailler-semtella tupia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana JF, Ninapata shida sana kuelewa kuhusu kipi nikipe kipaumbele kati ya kuchangia pesa kwa mgonjwa na kuchangia pesa katika msiba. Naomba mawazo kipi ni muhimu kwani yanatatanisha akili...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kama we mkali wa freestyle njoo 2pie mistari yako hapa ndani hasa jokes between jf members.... Angalizo-matusi mwiko..
0 Reactions
56 Replies
4K Views
Wife: “There’s trouble with the car. It has water in the carburetor.” Husband: “Water in the carburetor? That’s ridiculous.” Wife: “I tell you the car has water in the carburetor.” Husband...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kama hujafanya mambo haya hujakaa uswazi 1. Kulilia soda ya mgeni 2. Kukataa kuoga 3. Kukataa kwenda shule kwa kusingizia unaumwa 4. Kutochez mbali na nyumbani siku ya sikukuu ili ufaidi pilau...
3 Reactions
137 Replies
18K Views
Kuna kitu cheusi kama giza na cheupe kama barafu......ni haramu kuliwa na halali kukinywa....kina herufi tano na kinaanza na neno M...kinatumika na wanaume mara TATU kwa siku na wanawake mara MOJA...
1 Reactions
41 Replies
4K Views
Ziki ndio vazi la taifa,hvyo kukimbilia kutafuta nguo ya taifa wakat maisha yamekua ukeketaj n ujnga,kwan viongoz ndio mangaliba.Umaskin ndio vers na mapenz n corus,mwimbaj mtanzania(Mwafrika).Sio...
1 Reactions
1 Replies
909 Views
hali zenu wakuu, naomba wanajf wa mwanza mjitokeze kwa wingi.nataka kuwapa offer bab kubwa. ila msizidi kumi. mkifika kumi tu nawapa ofa. c mwajua tena mambo ya mwisho wa mwezi! Come one, come...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Bandugu watoto vijana na wazee wa mjini hebu tupeni basi maujanja ya mjini. Mim ni mbishi sana na ubishi wangu huwa siku zote unanigharim sana pindi nitakapo kujua ukweli wa mambo ya mjini. Kuna...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
natafuta mchuchu its serious ?! nimechoka kuwa single jameni....
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kumpiga mtu 'like' ni kumwonyesha unathamini mchango wake,tendo ambalo ni jema na la heri.Jamani we are family! Ndugu mdau,hebu jipime kwa kutumia kipimo hiki cha ukarimu.Nenda kwenye profile yako...
25 Reactions
193 Replies
10K Views
Madaktari bingwa walikuwa wanafanya majaribio ya utafiti wao walioufanya. Utafiti huo ulikuwa ni kuhusu dawa ya ambayo anapewa mama mjamzito muda mfupi kabla ya kujifungua ili uchungu wa uzazi...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
A local United Way office realized that the organization had never received a donation from the town's most successful lawyer. The person in charge of contributions called him to persuade him to...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani nimesikia katika mabadiliko ya katiba kutakuwa na kifungu cha sheria kinachotaka kila mtu aoe au aolewe na mtu aliyemtoa bikra. Je,wewe utamuoa/utaolewa na nani? Utaoa wawili au wa3?au...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
mtoto ampa mimba mama yake kwa mara ya pili
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom