Devi alichelewa kujiunga na chuo, hivyo alipofika akakuta kuna kitanda kimoja tu kimebaki katika chumba ambacho kulikuwa na mwanachuo ambae wenzake wote waligoma kulala nae chumba kimoja, maana...
Nianze na mimi kama ilivyo ada...siku moja asubuh nimepanda daladala toka mbezi kuelekea posta nikiwa nimesimama huku mikono kwenye chuma, nikahis kupga chafya, kabla sijafanikiwa kutoa leso...
Sijui mikoani ikoje
but kwa dar huwezi katishamitaa bila kuona mwanamke kavaa nguo hii
ni rangi tu ndo wanatofautiana.....utasema 'zinagaiwa bure somewhere'
sasa kwa wadada wa jf labda mtueleze...
Devi kaenda kwa mtabiri akamuangalie mambo yake.
Mtabiri akamwambie Devi afungue mkono ausome;
Mtabiri: Una watoto wawili
Devi: Hapo umebugi step nina watoto watatu
Mtabiri: Wewe ndio umebugi...
A man went to sell his dog. A buyer asked him, Is this dog faithful?
The man replied, Yes,I have sold him 3 times but he returns to me.
kwa jokes zahidi fungua frank johnson jokes/ ENJOY JOKES
siku ya kwanza:
mtoto-mama angalia yule dada tumbo lake kubwa kama nini
mama-sawa yule ni mjamzito
mtoto-aaa! Sawa mama
siku ya pili:
mtoto- mama angalia babu yule wa kiarabu mjamzito
mama-hapana...
Mlevi alipanda basi moja na mlokole,
mlokole akaanza kumhubiria"mpendwa mrudie bwana kwani hata mbinguni kuna pombe lakini haileweshi,kuna bangi lakini hairushi akili,kuna mirungi lakini haina...
Jamaa wawili walikutana kwenye kituo cha daladala wakafanya mazungumzo.Mmoja aling'ang'nia kuzungumzia kero za familia yake na mwenzie akimsikilizakwa makini,hatimaye mwenzake (jamaa wa pili)...
Wakubwa!
Leo nimeamka salama kwa uweza wa Mungu nikiwa na mwanandna wangu kipenzi cha moyo si mwingine ni Madame B, ingawaje alikua amenununa kisa sikuweza kuhudhuria mechi usiku ya mimi na...
Kweli mapenzi hayana macho...
Katika hali ya kustaajabisha klorokwini ameamua kujitosa na kuzama kwenye penzi zito la sweetlady bila kujali kuwa ni mke wa nitonye na bila aibu SL ameonekana...
Mwalimu (wa primary) aliingia darasani;mara baada ya salamu,akawapa wanafunzi wake zoezi, na kuwaambia; "kila mmoja achukue kalamu na karatasi na amchore Tembo", kila mwanafunzi alitingwa na zoezi...
whenever im stressed up i do crying alot, chillin all alone n jus to think about me, ido alot of be quite jus to watch over some peeps talking. Wat about u guys what do u do to be free from...
Alimtesa sana girlfriend wake,alikuwa anaonyesha live kwamba anaenda kubroke up mda mfupi ujao,girlfriend naye aligundua kinachoendelea na akaamua kuliko amkose heri amtoe roho boyfriend...
Mjukuu mmoja alikwenda kijijni kumsalimia babu yake baada ya miaka mingi kupita ndipo babu yake akamuhoji 'hivi nyerere wa siku hizi ndio kikwete?' maana yule nyerere wa manzo alikuwa anakuja...
Nataka kubadili jina JF kwani manzi wangu kajiunga nimegundua jana baada ya kupost habari nae kunijibu kwamba ashajua nami nimo! Na sababu ya kutaka kubadili ni kwamba kuna time zingine uwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.