JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
{Wife}:->Honey naomba niicheki simu yako dakika moja tu. {Husband}:->Okay subiri nii-switch on..[delete inbox and sent sms,delete videos,delete music,delete pictures,delete xx...format memory...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Jibaba alikuwa anam:panda: mkewe, sasa katika ile "nje nje nje ndani popote pale weka maskani..." Ghafla MKWAJU ukahamia TIGO. Jababa likasema ooh sorry hny. Mke akasema NO, kosa si lako ni la...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Watanganyika wanaotokea bara na wazanzibari baadhi wanaupinga huu msala wa uamsho sasa angalia huku bara kisitokee kikundi cha ufunuo wakaanza kuchoma nyumba za wapemba maana ujue ndugu zetu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Hi! Jamaa moja alikuwa anaishi na mkeo, mungu akawajalia mtoto ambaye anatakribani mwaka moja na miezi saba. Basi wapendwa hao walipendana sana, hata inapofika muda wa usiku mkeo akitaka kwenda...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamaa kaenda Uarabuni kataka kuvuta sigara Lakini akawa hana kibiriti,mbele yake kuna mwarabu anavuta sigara sasa hajui amuombe vipi moto,mwisho wa yote ikambidi aseme 'Give me jahannam'.
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Singa singa usiku kucha anajamba ovyo ovyo kwa kila aina ya sauti booboo!,shishhhh nk,mkewe akamuuliza una nini leo mwenzangu?, akajibu natafuta ringtone ya makario yangu!!!, cheka uongeze siku za...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mzee wa miaka 85 alimnyonya mkewe wa miaka 80 matiti kimapenzi.Mzee akafa. Kwenye Post mortem yake waliandika: DIED OF DRINKING EXPIRED MILK. BEST BEFORE 1955
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu wa JF, wasalaam, Nasikitika sana jinsi vyombo vya habari vina mwa-dress Mh. Luteni Jakaya Kikwete kama Dr. Jakaya Kikwete. Hivi hata ukipewa u-doctor wa heshima ndio teyari hiyo prefix...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
kwa kawaida wanaume huvaa chupi au boxa na skin tyt kwa ajil ya kubana nyeti zisichezecheze au kupwaya na kumletea tabu atembeapo ama kukimbia na kurukaruka kama vile kina ladies wavaapo sidiria...
0 Reactions
35 Replies
12K Views
Mwaaaaaaah kwa nimpendaye
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hi
Hi, vipi? Mbona Kimya kama J. Mo? Au uko Bize kama Jafary, au ni Mapozi kama Mr. Blu? Ama ni Mawazo kama J. Dee? Ni Beeb back basi kama Mike Tee, ili nipate kujua Uhali Gani kama Q-chif, au mpaka...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
wadada tu
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Kuna siku Pinda alienda kuzindua Mabwawa ya maji fugaji huko shinyanga aliposogelea bwawa akauliza hili Bwawa mumefuga MAMBA??watu kimya!!!Kumbe yeye alikuwa ameona kivuli chake mwenyewe!!!mkuu wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wadau wenye data, hebu tumwagieni hapa. cjui ni mhe. gani kaja yan folen kweli. saa nzima nipo kwenye daladala et twasubiri mh. apite. kha inabore kweli. . . .
0 Reactions
9 Replies
1K Views
wote mliosoma hapa ni wapumbavu wakubwa tena hamna akili.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Najaribu kufikiria kama Jamii forums ingekuwa inafanyika sehem ya wazi kama uwanja wa mpira au zaidi ya hapo na hapo kuna haya majukwaa mbali mbali kama ilivo sasa hivi na mtu unaruhusiwa...
1 Reactions
10 Replies
983 Views
Kirefu cha n.g.o. Ni; nothing is going on
2 Reactions
17 Replies
5K Views
A plane was about to crash. A man looked straight into his wife eye and said. MAN: honey i ve to confess to u dat i nailed ANITA our house help yesternight WIFE: honey, Mine is never an exception...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi niliharibiwa sana na kitabu cha PANGA LA SHABA na mwanae UFUDU. Nikatamani na mimi nikiwa mkubwa niwe mganga wa jadi ili nikamate wanawake wazuri na nipate mahela. Ila nilikuwa naogopa sana...
1 Reactions
58 Replies
5K Views
Kwa wale wanaoangalia tv channel ya citizen ya wenzetu wa kenya, kuna kipindi kinaitwa NASWA looh yaani ni zaidi ya ze comedy , ni vituko vitupu nimependa ubunifu wao...........
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom