Jamaa wanne walikua wanabishana kuhusu nani ana wivu kuliko wenzake,mabishano yao yalikua hvi.
Wa kwanza:yani me nina wivu hadi nimeamua kuwa naenda ofisini na mke wangu ili huku nyuma vidume...
Baddhi ya Nchi zinazoongoza Kwa maraha hapa Afrika ni zile zilizotaaliwa na Mreno (Portuguese).. Mozambique na Angola ni Chiboooko yake...raha tupu. "Stress free zones" Kama Brazil..
Nishaona dalili mbaya, kwanza ID ilibadilishwa, afu nikaona mdogo wake Yang Masta anauliziwa...
I ken tek zis noo moo, CUTE popote ulipo, kuna mtu anapoteza jimbo huku.
Kuna katabia ambako nimeshindwà kukaacha... mf. nikiwa kwenye public tranport nikamwona mtu yuko busy anachat lazima na mie nitatoa kimchina changu nitatuma sms. kama cna salio nitasoma sms...
Kuna jamaa alikuwa amezidisha dozi ya bange!
Akajifungia geto akakaa kitandani na kuanza kupiga kelele,
Nazaa nazaaaa
nazaaaa
watu kwenda kumchek aaghr jamaa kajaza mavi kibao kitandani!!
Jamani hii forum inatuwezesha kwa kweli hata mtu ukihitaji
mchango kwa wanajamii wewe ingiza maombi yako hapa na
namna ya kupokea mchango kwa wale watakao kubali kukuchangia.
Malizia majina haya ya khanga na ongeza ya kwao
BIBI MKUNA NAZI..............................
HASIDI KIWEMBE FISADI WA..........................
UKIONA **** LAELEA UJUWE.........................
Nimesikia linazungumziwa sana humu, lakini sijui hata linahusu nini....................!
Naomba mwenye Link yake anitupie ili nijue yanayojiri humo, kama ni sayansi kimu au elimu ya kujitegemea...
American guy were seated on a
plane.The black Kenyan man
had a
bunch of bananas,while the
American
guy had a monkey.The black Kenyan
guy wanted to use the toilet,he
said to
the white...
Bado sijajua niiteje title yake.
Ni ndefu kiasi,But nahitaji mawazo yenu na kunirekebisha kwa wale ambao hawataboreka kusoma.hii ni sehemu ndogo tu.(najaribu kuweka paragraphs ila zimegoma...
mama m1 alimpa mumewe radio aendenayo chooni ili acboreke atakapo kuwa huko alipotoka mke alimuuliza mumewe
mke: nahc utakuwa umeinjoy sana unajisaidia huku unakula mangoma
mume: nimeinjoy au...
yeah ts my birthday chit chaters.!!! Ndo ile siku wengi mlikua mnaisubiria kwa ajiri ya kutoa zawadi zenu... Msisite wala hamjachelewa
mwanza - beibe nasty
arusha - erick52
morogoro - madame B...
Ziko mbili, za tofauti sana, kwa muda na character, moja ya kistaarabu na ingine utata mtupu.
Vikwazo ni vichache vya nje na vingine vingi chini ya kapeti.
Sijui niziunganishe, just thinking loudly.
7 Things Girls Do In an Exam
Hall:
1. Write..
2. Stuck Hair Behind Ears.. 3. Again Write..
4. Change da Empty Refill..
5. Again Write..
6. Ask foh Extra Sheet..
7. Again Keep Writing...
Mwanzo kabisa nilikuwa natumia hii
Sasa nikagundua kila nachoandika watu wananishambulia na kunitukana bila hata sababu, nakwambia wakawa wanani-embarrass hadi wakanisababishia BAN...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.