JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Naomba wenyeji zaidi yangu wanisaidie haya, GH isiyozidi 5000 mjini Sehemu za kula cheap nazijua Ntawaambia ntakapokuwa mtakaopenda "kupigwa mizinga ya bia" See you there......
0 Reactions
190 Replies
9K Views
kama wazungu hawana ufisadi neno corruption limetoka wap kwa waswahili?
0 Reactions
4 Replies
836 Views
Jamani hii baridi ya arachuga kama washingtown vile!Blanketi halitoshi jamani Natafuta mchuchu wa kunilea kwa muda huu! PM zote zitajibiwa! Vigezo na masharti kuzingatiwa!
0 Reactions
52 Replies
3K Views
...if you had one chance?
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Jamaa mmoja alimpa mimba mwanafunz ambae ni mtoto wa mchaga,baba mtoto alikasirika sana na akapanga kumuua yule jamaa....jamaa kusikia hvyo akam2mia ujumbe mzee kwa kumwambia mzee ni kweli nimempa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamaa yangu katembelewa na mama mkwe wake ambaye kaja Dar kwa matibabu, sasa kwa vile amepanga chumba kimoja ikabidi awapishe mkewe, mamake na mama mkubwa walale afu yeye aje kujihifadhi kwangu...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Jamaa mmoja mgönjwa alienda kwa daktari akaweka kikaratasi kwenye meza kilichoandikwa siwezi kuongea.Daktari akamwambia aweke dole gumba juu ya meza.Jamaa akajua ndo maelekezo ya vipimo! Daktari...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mdada mmoja alipoteza pochi yake kwenye daladala! Jamaa mmoja muaminifu akamtafuta mpaka akampata! Yule dada alishukuru kila kitu kilikuwemo kasoro moja tu MDADA; huku kulikuwa na laki,lakini...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Toa gambe weka gambe Kata mti panda mti Zungusha kama tulivyo Drinking without smoking is like a charming girl with one eye Ponda mali kufa kwaja Tunashusha mikono nipe...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Huku mbezi kuna babu mmoja nouuuma sana. Akipakiwa kwenye bodaboda anajifanya muoga anamkumbatia kiunoni dereva. Kumbe si moga wala nini anatatizo la mfadhaiko kwenye mashimo anajifanya 'yalah...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi CHACHA MWITA MARWA,naapa kwamba nitakua ngaliba,nitailinda na kuitetea mila ya kiku....,sitatoa siri wapi tunapokeketea kwa polis kwa njia yoyote,nitatumia sime na panga kuilinda, Mula...
0 Reactions
0 Replies
933 Views
Alikuja geto kwangu siunajua tena kwa ngwea..mi nkawa nimetoka nje napiga stori na jamaa wake ye yupo room nimemuwekea CD kwenye deki anasikiliza nyimbo, ile CD ikapiga nyimbo hadi ya mwisho...
1 Reactions
17 Replies
8K Views
JUST LOOK IN ANOTHER PERSPECTIVE.... If you are SINGLE and keep on saying "I DON'T TRUST MEN OR WOMEN!" remember... your mates are getting married every Saturday. Let me ask you, are they...
0 Reactions
0 Replies
952 Views
husika hapo juu.
0 Reactions
56 Replies
10K Views
KIBERA KWA MBWEMBWE: KIBERA yupo na sista du wakaenda kupata msosi kwenye mgahawa m1 hvi,sasa bwana KIBERA anataka kujifanya anajua ung'eng'e mbele ya du,kufika pale wakakuta watasha a.k.a...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
TAFUTA PART 1 YA HII NDIYO UJE HAPA. > Mke : Mara ya tatu mume wangu nililazimika nitembee nje ya ndoa, ni wakati wa uchaguzi. Siku ile ya kuhesabu kura mme wangu ulikua...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
ni mimi jamani au? why mi? mnaona nina shida ya mapenzi sana au? sio fair
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Siku moja daktari wa wodi ya vichaa pale Mirembe hosp aliamua kwenda kuwapima wagonjwa wake aone nani amepona ili awaruhusu kutoka hospitali. Alipofika wodini akafunga mlango kisha akaenda upande...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wote ni watoto wa waheshimiwa na wote ni wana ccm, Je kati ya hawa vijana wawili machachari ndani ya ccm, kimtazamo nani anauwezo wa uongozi zaid ya mwenzie
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Jamani mimi sijawahi kuona message ya pm inakujaje maana sijawahi kuwa PMed ila kwa sababu jf chama kubwa nna uhakika leo nitaziona nyingi sana. Ufikapo kwenye hii thread usisite kuniPM.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom