Mke na Mume wakiwa wamepozi veranda, haya na yale yakiendelea. Mume ambaye ni Mheshimiwa Diwani katika Kata wanayoishi.
Ghafla Mhe, akamtupia swali la kushtukiza Mkewe, ikawa kama hivi ;-
>...
Nawashukuru sana wana Arusha kwa kunipokea, kunikirim na kunitembeza sehemu mbalimbali. Mmeniwezesha kutalii wilaya 3 ambazo ni Longido, Monduli na Ngorongoro. Kweli nimefarijika sana kwa ziara ya...
Padri na shekhe walikutana
kwenye ndege,Padri
akamkaribisha Shekhe nyama
ya kitimoto,Shekhe akasema
sisi hatulagi hiyo nyama Padri
akasema mnakosa uhondo.wakati wa kushuka
Shekhe akamwambia...
Habar wanajamv, nimejiuliza kwann namba tatu inatumika sana kwenye mambo mbalimbali lakini sijapata jibu! hebu jionee mwenyewe
1. Ushindi mzur katka soka ni goli tatu kwa sifuri.
2. Mara nyingi...
Madada vicheche walikuwa mtoni wanaoga,
akapita babu mmoja akawauliza;
Babu:Mbona K zenu hazina mav*z
Malaya:Uliona wapi njia iliyo bize ikaota nyasi?!
Babu:Dah!kizazi hiki cha ******...
Hebu tuangalie imani zao wakati wa maziko, pale wanapokuwa wameondokewa na mpendwa wao. Kwa kawaida wakati wa Maziko Wamakonde huwa na maombi tofauti na yale yanayofuatwa na madhehebu mengine...
Jamani nimekuwa nikisikia watu wakinihadithia juu ya Jakuzi...
Naomba mnifafanulie hisia zilizopo ndani ya Jakuzi kwa maana sijawahi kuingia humo hata siku moja!!
Jamaa yetu alitoka bar akiwa hoi kwa kilevi, hajaenda mbali bodaboda moja likataka kumgonga akakwepa kushoto likapita, hatua chache nyingine bodaboda nyingine ikataka kumgonga akakwepa kulia...
Ni mwalimu wangu ambaye amenifundisha darasa la kwanza, ni kipindi kile
ambacho tulikuwa hatupitii shule za awali tulikuwa tunaanza shule ya
msingi moja kwa moja.
Nilimpenda sana huyu mama na...
hichi kipindi kinafurahisha sana kwa wanaongalia, but kwa wahusika wanaowafumania wapenzi wao ni huzuni kubwa, ingekuwaje kungekuwa na kipindi kama hichi hapa TZ?
Jamaa mmoja alikuwa anakula uroda na demu,mara akakojoa akatulia kwenye kifua cha demu,demu akamwambia si umemaliza kukojoa mbona umetulia?akajibu nasubiri kunya.
walevi watatu walipanda kwenye tax,basi dereva tax alipoona jamaa wamelewa akawasha gari na kuizima kisha akawaambia tushafika...mlevi wa kwanza akalipa nauli,wa pili akamwambia asante sana...
Njoroge alienda kijiji X kwa malengo ya kununua nyani. Alikuwa ananunua nyani mmoja kwa sh.10000.Watu kibao walivamia mapori kukamata nyani na kwenda kumuuzia huyu bwana.Baada ya wiki 2,wauza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.