JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
One day in the hotel room,the husband heard his wife scream, "Panya! Panya!" He wanted to inform Room Service but didn't knew what the English word for "panya" Si unajua mswahili hashindwi kitu...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Nilimsikia zembwela akisema hicho kitu,ni nini? Gas au mafuta?
0 Reactions
0 Replies
972 Views
Jamaa alinunua friji jipya, akawaza namna ya kuondokana na lile la zamani basi hatimae akaliweka nje ya nyumba yake na kuandika kibao ANAE TAKA KUCHUKUA ACHUKUE BURE. Watu wakawa wanapita...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Ndugu zangu wanajf,naomba niwasilishe hili ombi kwenu.Naombeni hili neno 'i love u' lisitumike humu kwenye hili jukwaa kama siku 3 tu. Wengine linaturemind mambo ambayo hayatakiwi kuremindiwa...
0 Reactions
49 Replies
3K Views
Mimi ni msukuma toka Mwanza, nipo Dar Es Salaam tangu 2006, nimemalza Chuo Kikuu mwaka 2009 na kupata kaz hapa DSM,kaja mjombo wangu kunitembelea jana nilimpeleka Mliman City, fika pale akaniulza...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Devi: Why some of your Hair are White dad ? Dad: Everytime A Son Makes his dad unhappy when one ofhis dad's hair turns into White.. Devi: Oooh, Now I understood Why Grandpa's Hair are All White...
0 Reactions
0 Replies
963 Views
Wadau natoka Dar naelekea Arusha nko na Kilimanjaro Express, kama kuna mdau pande hizi humu au kwa gari nyingine iwe binafsi au ya abiria hebu tukutane anga hii labda tunaeza onana na kwa wengine...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Tarehe kama ya leo, ndio siku ambayo nilizaliwa na kuongeza idadi ya watu hapo Duniani. Si haba, namshukuru muumba kwa kunifikisha hapa nilipo. Pia nawashukuru wazazi wangu, mke wangu mpendwa...
9 Reactions
76 Replies
6K Views
Am a new member kwa jf:nmejikuta nawaza sana recently coz of life circumstances nmekutana nazo n kitu pekee nahitaj san ni marafiki wa kuchat nao,share topic thoughts etc kuavoid ile too much...
0 Reactions
104 Replies
5K Views
Jamani huyu ni kichaa waakili,namtafu kanitoroka humu jamvini.nilimuacha nimemfungia sehemu nikaenda kuongea na mods wanitafutie sehemu ya kumuifadhi kama vile kuanzisha jukwaa la vichaa lakini...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Kwa nini nakuwa na bahati ya kukutana na wanawake ambao hawaniheshimu? Shida ni nini .. Ama niwe natembeza kichapo siongelei wadada wa hapa chit chat and JF kwa ujumla ..
0 Reactions
38 Replies
2K Views
If you'r above 25 and u'r still living wit ur parents,Happy children's day!!
0 Reactions
34 Replies
2K Views
Naingia kwenye profile yangu nakutana na lawyer amegoma kushangilia leo, Upande mwingine Speaker nae kaacha kutingisha kichwa, mbaya zaidi kwa Boflo, Zidane leo kaanguka yeye....lol Najaribu...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
...mjitahidi kuchunguza na msimu kabla hamjatuletea machungwa kutoka Segera. Sasa hivi machungwa yamemwagika mjini, mpaka sh.50 unapata tunda. Chondechonde wasafiri mnaokuja kwenye sendi ofu...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Mtoto mmoja kila akiulizwa jina lake alikuwa ana tabia ya kujibu, 'Mimi ni mtoto wa Mzee John'. Mama yake akamwambia,' Usiwe unasema hivyo, ukiulizwa sema naitwa Jane John'. bahati mbaya sana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Aisee acha kabisa hii ni dansi ambalo orijinale lake liko Angola......
0 Reactions
2 Replies
966 Views
Mwenzenuu, usiku leo silali, Nateseka usingizi sipati huwa nabaki nahangaika, Kuyasema yote, ninayaona siwezi, yasije yakaleta, udadisi kwa watu bure… Shahidi yangu ni mama watoto, yeye...
2 Reactions
36 Replies
6K Views
Nliamini wakak wa chit chat kwel ni waoga, yan ile post ya kuntokea wote walikimblia kwenye pm badil ya live.. sijapata mshindi ata mmoja ila junior. Cux ndo kidogo alionyesha moyo wa ushindan...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kapokea tigopesa yako kimakosahataki kukurudishia,unaiblock asitoe,kumb kaend na tax kaambiwa blocke,anasema si ungesema
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Utakuta mtu ameshajua kuwa saint ivuga wa JF ni nani anazunguka zunguka kuambia watu kuwa fulani ndio SI .mwanaume mzima kidomodomo cha nini? Si ukaushe unawashwa na nini? tukitaka kujulikana kwa...
3 Reactions
45 Replies
3K Views
Back
Top Bottom