JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
cute love, To yeye, Miss Natafuta, Evelyn Salt, Flowerpot Ndindwa hivi hii imeshawahi kuwatokea? Je ni kwa uwezo wako binafsi, uwezo wa mshughulikaji au ni sababu ya kabila lako?
5 Reactions
111 Replies
4K Views
Bado nini hapo?
1 Reactions
4 Replies
295 Views
Mtasema nifate maisha yangu hilo naunga mkono ila ushauri ni kitu muhimu na haukwepeki ndio mana Elon na utajiri wake ameomba ushauri ajihuzuru utendaji mkuu au abaki. Iko hivi ndugu zangu kule...
18 Reactions
102 Replies
3K Views
I still remember the first day u replied my Pm was the day I realized how important your in my Life. You became the true definition of the Friendship. Moving closer to you made me realize that...
26 Reactions
811 Replies
32K Views
Watu wajf mseme mtu vizuri na mpe like yake. Mie ninao wengi nawapa team yote ya JamiiForums heri ya mwaka mpya kuanzia director, manager na wafanyakazi wote wa JF. ERoni , Glenn DeepPond...
14 Reactions
239 Replies
4K Views
STL
Nimeikuta sehemu. Imekaaje hii wadau?
1 Reactions
24 Replies
1K Views
Nina wazazi wawili Bibi mmoja(Grand-mother) sina mke Wala mtoto Je nikiamua sikukuu hii ipite kimya kimya na Baada ya hapo kitanipata Nini?
1 Reactions
8 Replies
556 Views
Wadau vipi ka salary ka mwezi huu wa pesa hazitoshi. Wenzangu mmekaona? Tuambizane maana hapa nina buku tu la bodaboda kunipeleka kwa ATM. Nikizikoswa ndo yatakuwa majanga zaidi. Kwa walio na...
4 Reactions
86 Replies
10K Views
Nafanya kazi vijijin uko ndanindani somewhere in Tanzania, kwakweli ni sehemu ambayo hamna cha kuenjoy zaidi ya filamu na mpira tu nikitoka kazini. Nafikiria likizo hii ya siku 10 ya mwisho wa...
4 Reactions
33 Replies
2K Views
Ni wimbo gani unahisi unafunga mwaka 2022 vizuri.. Majukwaa yote Matusi au kejeri au dhihaka haziruhusiwi twendeeeeeee ENTERTAINMENT mshindi ni comment ya mwisho au itakayokuwa na maombi...
0 Reactions
0 Replies
435 Views
Habari Zenu Ndugu Zangu wana JF Natumai Wazima wa Afya
1 Reactions
2 Replies
277 Views
Na selelereka nayo Mimi sijawahi fika Kigoma na sina mpango wa kufika pia sijawahi fika Tabora na sina mpango wa kufika. Najutia sana kufika Arusha maana ni mkoa choka mbaya kishenzi, nilitupa...
8 Reactions
218 Replies
13K Views
Marafiki na wengine wote, Xmas njema, nawatakia na heri ya mwaka hadi siku zijazo, tuombe uzima. Merry Xmas and Happy New Year guys.
2 Reactions
11 Replies
613 Views
Sio lazima utaje kazi au shughuli yako. Ila mimi binafsi nawashukuru wakazi wa jiji la mbeya maana ndipo nilipotokea kimaisha baada ya kupuyanga na kuchochola saaaaaaana. Salute kwà mbeya na Wana...
2 Reactions
8 Replies
513 Views
Suala la kuoa na kuolewa limekuwa gumzo na muda mwingine kuleta mtazamo tofauti katika jamii. Sio mara moja au mbili umesikia kuwa wachumba wameshindwa kuoana kwa sababu familia moja ya mwanamke...
1 Reactions
0 Replies
626 Views
Vipi mambo bado huko? mlioko jikoni mtujuze.
0 Reactions
2 Replies
337 Views
Nchi hii ina vijana na watu wengine wa hovyo sana. Saivi kila mtu ni 'Mkuu'! For what?![emoji205] Mtu akipewa dili/ramani/offer/tip basi lazima amuite mtu MKUU! Asante Mkuu! Ndiyo Mkuu! Sawa...
1 Reactions
13 Replies
477 Views
Hiki ni kikao kitakachohusisha makundi yote ya wanaume hapa nchini isipokuwa wale walioleft. Hapa nazungumzia wanaume mabahili, wenye madeni madogo na makubwa, wenye michepuko, wenye watoto zaidi...
5 Reactions
14 Replies
828 Views
Nimekaa palee nasubiri mshahara utoke nimtumie mayele hela ya mafuta unbeaten kisha ninunue k vant bwaku nimekaa paleee wakuteseka acha wateseke. Kesho ndo nianze kulipa madeni ya watu je wewe...
7 Reactions
65 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…