JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mfupi ndio aliegundua "ngazi" mdhambi ndie aliegundua "kutubu" mvivu ndie aligundua "kuiba" mpweke ndie aliegundua "kupenda" mjinga ndie aliegundua "kusoma" maskini ndie aliegundua "kuomba"...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
katika daladala mzee mmoja akamwona binti anachati akajisogezasogeza nakujishughulisha hadi akafanikiwa kumuomba contacts,ili wachat binti akamwandikia mzee katika karatasi...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Jamani leo nataka members wote tujadili pia tuangalie ufafanuzi na usuluhishi. Kati ya Members wote humu JF ni member gani anayeongoza kwa kuwasababishia members wengine kupigwa BAN? Pia ni...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
An illiterate father with his educated son went on a camping trip.. They set up their tent & fell asleep. Some hours later, Father wakes his son & asks: Look up to the sky & tell me what...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
watu watatu walikuwa wamekaa wakijadili jinsi ya kuwasaidia masikini. Maongezi yalikuwa hivi: MPARE:Mimi nitachora duara kisha ntarusha hela juu.zitazoingia ndani ya duara nitawapa masikini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Vyote unavyo viona vinavyo tendeka ni vile vile vya kila leo kukubwa ni marudio tu mara mume kampiga mke wake mara mama anatembea na vitoto mara jama alikuwa tajiri leo hii kafilisika mara...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Mnakumbuka makanyagio(chuwa,nelkoni etc).magembe,makongoro,shaabani,lumumba,agrey,.kaniitieni.dah kitambo sana!!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wamekutana mitandaoni hawajuani, lakini wamependana mpaka wakaamua kufunga ndoa. Wakatafuta muozeshaji mtandaoni, naye akakubali kuwaozesha. Hotuba ya kufunga ndoa ilikuwa hivi: Wewe...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
msaada wenu wandugu, ni wapi naweza pata lodge iliyo kando kando ya ziwa (beach lodging) at an affordable price?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani kama mnakumbuka ule uzi wangu wa yule mwana JF anayenikosesha usingizi..Nawaza sijui ni mganga yupi niende........,Eti kanambia ooh nimeoa pls dont follow follow me .....Nikamwambia naomba...
1 Reactions
75 Replies
5K Views
Bila mrefu asingekuwepo mfupi! Bila mjinga asingekuwepo mwerevu! Bila mnene asingekuwepo mwembamba! Bila mwanamke asingekuwepo mwanaume!!!!! endeleaaaa!
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Siku hizi kumekuwa na Tabia ya watu kukuahidi kabisa kwamba atakuletea Sapraiz, Sasa najiuliza hivi nikiahidiwa kuwa nitaletewa sapraiz, bado ina uhalali wa kuitwa spraiz tena? Sasa TANMO...
0 Reactions
46 Replies
4K Views
Si vibya nkiwakumbusha wenzangu na mimi ambao mnahangaika sana kununua vizawadi kwa ajili ya wasichana/wavulana ambao si wenu mkiwa na mawazo siku moja watawakubalia... hizo ela ni bora ungeenda...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Jamaa mmoja aliota amekufa na kuchukuliwa na malaika hadi mbinguni. Alipofika mapokezi ya mbingu akashangaa kuona ukutani kuna saa nyingi sana, akamuuliza malaika wa mapokezi “hizi saa za nini...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Birth Control Pills An elderly woman went into the doctor’s office. When the doctor asked why she was there, she replied, "I’d like to have some...
0 Reactions
0 Replies
782 Views
Hii ni picha ya mpenz wangu tuliyeweka malengo ya kufunga ndoa,cha ajabu nimempeleka nyumban kwa wakwe kumtambulisha mama kakataa katakata wakati ye ndo aliyenishauri nioe kwa kuwa umri...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
ati watu wanaita hawa watu kuwa ni nyara za taifa. Umeona vile wako handsome?
0 Reactions
1 Replies
968 Views
Ndiyo nimesema hivyo, nataka nikiamka tu nikiingia JF nikute "Breaking Newzzzzzzzzzzz" Makongoro hayupo kwenye baraza la mawaziri.Halafu John pombe maghufuli ndiye waziri mkuu.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Huyu kijana kamaliza mwaka huu.Kweli necta wanaharamu,munajua kapta nini?? POLE SANA NDUGU nitonye.Leo kwako kesho kwa invisible au paw.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
habari za nyinyi humu ndani vipi wazima wote? Mi leo nipo so weak and mpaka sasa nimelose apetite im praying irudi haraka nikale jamani. Nimewakumbuka tuu na kama kawaida ya bebe kutoa salamu si...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom