JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wandugu, kuna hii kitu kwa wachaga inaitwa "Kiruhuo Mawoko" yaani "kifungua mikono" Kwa wasio wachagga: ni ile fedha/mali yako ya kwanza pindi uanzapo kazi/biashara unayowapatia wazazi ili...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
...maisha ni MAGUMU usipime!...mafanikio yanakuja uzeeni!...wakati hata nguvu za kufaidi huna! haya..ngoja tuendelee kusukuma kete kwenye draft la sumaku.
0 Reactions
0 Replies
781 Views
Jamaa katembelewa na Israel mtoa roho za watu,akamwambia leo ndio zamu yako nimekuja kukutoa roho.Jamaa kamkaribisha vizuri,kampa chakula na kinywaji ambacho aliweka dawa ya ucngizi.Israel...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Karibuni nyote wakubwa kwa wadogo to the all night praise and worship event to be held at the CTC (Upanga).. Ijumaa tarehe 4/May/2012....kuanzia 9pm mpaka majogoo.. Nyote mnakaribishwa. *T-shirts...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
OY: May I hold your hand? GIRL: No thanks, it isn't heavy. GIRL: Say you love me! Say you love me! BOY: You love me... GIRL: If we become engaged will you give me a ring?? BOY: Sure, what's your...
0 Reactions
1 Replies
847 Views
Wanabodi, habarini . Hivi mnayo habari kwamba lugha ya Kingereza itaendelea kukimbiza na kua mbele kiasi isikutwe na lugha yeyote duniani ? Utafiti uliyofanywa hivi karibuni na wataalamu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mlevi katuma meseji kwa mke wake "Darling nipo bar napata mbili tatu, nitarudi nyumbani ndani ya dk 50 zijazo, ukiona kimya we soma tena hii meseji"
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Dah leo jamani yamenikuta!! Kuna binti alinilaghai nikawa nae kimapenzi,kaniharibia uvulana wangu weee na baada ya kunitumia vya kutosha sasa kanimwaga wala hanijali tena.. Roho inaniuma sana...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama ungekuwa wewe ungependekeza nani apewe BAN.Toa na Sababu Tatu muhimu. Kwa mimi wale wote wenye lugha za matusi na wanaoiba wake za watu. Ongeza jina ...
0 Reactions
53 Replies
4K Views
People generally like to touch things but sometimes there are things that you don't want to touch. -Cotton wool - I tense up at the very thought of it. -Other people's penises...
0 Reactions
32 Replies
2K Views
Thats why I hate kupika, ndo haliliki tena ivo. Nishapigia simu Edo wa kiepe aniandalie chipsi mishkaki (I guess unajua kama sili mayai). Aaaaagh!
1 Reactions
32 Replies
4K Views
matokeo yametoka leo mei mosi! Yani sijui kama utanipongeza au utanisodoa poa! Niliaga mkanipa baraka nimerudi kuripoti nilichokifanya!! Nina acountancy B' commerce D' na economics S' lakin...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Mwenye chenji ya buku jamani, au kama una elfu mbili nikupe buku.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Mama nyimabondo alikuwa ameshapika chakula ndipo akaenda kwa bwana wake ambaye kwa muda huo alikuwa anacheza drafti na wenzake chini ya mwembe jirani kidogo na nyumba yao. Alipofika pale hakutaka...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Poleni kwa kazi wana JF.ninafanya utafiti wa watumiaji wa JF ni simu gani ni popular.mimi natumia sony ericsson u10i.
0 Reactions
83 Replies
6K Views
Kwa zaidi ya mwaka na nusu sasa nimeshindwa kabisa kuiendesha Akaunti yangu ya face Book. Tatizo kwanza marafiki zangu niliowatafuta FaceBook wengi hawakupatikana na waliopatikana nadhani kutokana...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
dah, kumbe sometime mazoea yana tabu eeh... yan nshachoka kulala na jeans. mnoneke wanajamvi!
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Bishanga chukua hiyo....
1 Reactions
52 Replies
4K Views
Hivi hiyo sentensi ina maana gani? Hv ni kweli bila wanawake hakuna kilio.? Au mtunzi alimaanisha nini
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Back
Top Bottom