Mtoto mmoja alimuuliza mama yake, " binadamu tumetokana na nini"? Mama yake akamjibu, "zamani binadamu wote tulikuwa nyani, halafu nyani wale wakawa wanabadilika kidogo kidogo mpaka wakawa...
Naomba mlitafakari hili jamani kuna vijana wengi ambao wamemalizia elimu ya vyuo na hawana ajira kila wanapokwenda kuomba kazi sehemu wanaishia kufanya interview bila mafanikio,wakati huo huo...
Nikirudi nikute li breaking newsssssssssssssss moja tu!!
Natabiri
Pinda waziri mkuu
Membe mambo ya ndani
magufuli ujenzi
dr nkya ustawi wa jamii
...n.k
:spy:Mtu yeyote unapoitwa doctor lazima uwe na upana mkubwa sana wa kujieleza binafisi au kundi.kwangu mimi nimegundua kuwa ni mtu asiyefahamu kabisa nini anaongea,nakumbuka siku aliposema kuwa...
Tufungulieni jukwaa la astrology,ukiamka tu asubuhi unasoma nyota yako jamvini,huna haja ya kusoma magazetini.
Mfano leo kwenye gazeti mashuhuri la jf udaku nyota yangu inasema:
Haja ya moyo...
Jamaa alichungulia kwa kinyozi akauliza, "Nataka kunyoa nirudi baada ya muda gani?" Kinyozi akajibu,"Niko bizi rudi baada ya masaa mawili". Baada ya wiki jamaa akarudi tena, akauliza swali...
Jamaa kahisi kiu akaomba maji kwenye nyumba moja mtoto akamletea maziwa jamaa akanywa fasta kisha akamuuliza mtoto kwa nini amempa maziwa mtoto akasema panya alidumbukia hivyo hawayahitaji jamaa...
Wakubwa wangu, ndugu zangu, rafiki zangu na members wooote, Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh. Nakutakieni Ijumaa njema yenye baraka na afya. Mwaminifu mbele ya M/ Mungu ni yule=...
Ni wiki sasa huyu mwanangu Cantalisia na wenzake King'asti, TaiJike, Asnam, na yule mnoko MwanajamiiOne wananikwepa kunifundisha namna ya ku-log in kwenye JF na haka ka-simu kangu nilikokanunua...
Habari zenu jamani.kutokana na mambo ya kazi sijamuona mama watoto kwa kitu kama mwezi hv.sasa nipo moshi kwenye seminar na inaisha leo na ningependa kumnunulia zawadi ya chupi au lingerie lakini...
A man walks into a pharmacy, buys a condom, then walks out of the storelaughing hysterically. The pharmacist thinks this is weird, but, hey, there'sno law preventing weird people from buying...
Mwanakwaya anamlalamikia padre:
"Padre mke wangu hajui kufanya mapenzi
kabisaa mi namwaacha haki ya nani!"
PADRE AKIJIBU KWA CONFIDENCE: "si bora mkeo anajua kidogo mke wa mpiga...
...Mwanamke mmoja aliingia duka la dawa na kuomba auziwe sumu.
Mwenye duka akamuuliza: " Ya nini hiyo sumu unayoitaka?"
Mwanamke: "Nataka kumuua mume wangu".
Muuza duka: "Mungu wangu! Nikuuzie...
Habari wana JF
A man approached a Nigerian girl,during sex the Nigerian girl asks the man.Why didn't you use condoms?Man replayed i don't have them,she asked once more,do you have HIV?Man said...
Asalam aleykum.
Mashosti ajali hii inayotuhusu kina mama imetokea hapa kwenye airport kubwa kuliko zote ulaya magharibi ambako niko transit kwa muda sasa nikisubiri boarding time kuelekea kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.