mei mosi hoyeee! wanajamvi habarini za mei mosi vp mapumziko kwa wale wafanyakaz, kwa wajasiriamali haiwahusu. me nina maoni. hv kwann isiwepo jamiiforum day au kama ipo ni cku gani? ckukuu njema...
Tujikumbushe post ya zamani kidogo Wachaga, Chagga, Jagga, Dschagga, Waschagga, or Wachagga MIND
A CHAGGA man walks into a Barclays Bank in DAR ES SALAAM City and asks for the Loan Officer. He...
Ndugu zangu,nimewajua freemasons muda kidogo hata kabla mtandao haujawa sehemu ya mawasiliano kwa watanzania.Mwanzoni nilikua nafahamu kwamba ili uwe freemason ni LAZIMA uwe TAJIRI MKUBWA na mtu...
Mwanaume mmoja alikuwa
amelazwa katika chumba cha
wagonjwa
mahututi akiwa amepoteza
fahamu kwa siku mbili.
Alipozinduka akamuona
mkewe akiwa pembeni ya kitanda
akimuombea. Jamaa kwa upendo...
Msichana mmoja alipata mimba akiwa bado ni mwanafunzi, mama yake akamwambia hivi:- Mama: mwanangu mm si nilikwambia mtu yoyote akikushikashika maziwa umwambie "DONT". Binti: ndio mama. Mama: na...
Habari za siku mshimiwa wa JF !!!
Natafuta KAMPUNI au WATU, wanayo weza kuni saidiya ku tangaza biashara kwenye magazeti mbali mbali.
Plz help if anyone knows any agents for newspapers ?
PM me...
Baada ya kupasi mtihani Bakhili alimnunulia mwanawe toy car kama alivyomuahidi, mtoto akafurahi kisha akamuuliza baba yake ziko wapi batery zake? Bakhili: batery nitanunua ukipasi mtihani wa...
A little old lady was running up and down the halls in a nursing home. As she walked, she would flip up the hem of her nightgown and say, "Supersex!" She walked up to an elderly man in a...
Mheshimiwa Livingstone Lusinde (MB) Mtera, duru za siasa za sema kuna uwezekano mkubwa wa kuukwaa uwaziri ili kumlipa fadhila na kumfuta machoz kwa alichokifanya katika kampeni za CCM Arumeru...
ni kijana ambae nilikutana nae kam miez miwil iliyopita,ni mtanashati,mcha mung,msikivu,mpole,muelewa!in short nampend!ana umri wa miaka 22,na mie nna miaka 21!tatizo ni kwamba,anaondoka kwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.