Kwa mara ya kwanza maishani mwao,mzee mmoja,mkewe pamoja na mtoto wao mtshepo walitia maguu jijini johanesburg. Walipofika jijini walimwacha mama mtshepo aendelee kufanya shopping supermarket,wao...
a mdogo kabisa niliwahi kusoma novel za mtu mmoja marehemu kwa sasa alikuwa anaitwa Elvis Musiba na baadae Ben Mtobwa wakiwa na characters wao waliowapa mija ya Willy Gamba na Joram Kiango...
Inagawa mimi sio member wa siku nyingi, ila nimekuwa nikitembelea sana mitaa hii. Kwa tafsiri nyingine, na mimi ni mgeni-mwenyeji mtaani hapa. Ila kwa muda sasa sijaona posts za FF. Yuko wapi...
Katika mkoa fulani huko kanda ya Ziwa watu walikuwa wazinzi sana, kila walipokuwa wakienda kuungama 98% walisema wamezini. Padri alikerwa sana na jambo hilo, siku 1 padri aliwaita waumini wote...
Kama mtanzania ninayeambiwa nina haki juu ya nchi yangu, nimeona heri nibinafsishe ikulu yetu kwa vile imegeuka yao na haiingizi faida. Nafanya hivyo baada ya kusikia maoni ya gwiji la uwekezaji...
...COMING SOON!
TOPIC: Yet to be sorted
TIME & DATE: Undisclosed
VENUE: Hapahapa Chit-Chat
WAHUSIKA: Yeyote anayejisikia...
Stay tuned!
And do not even think about daring to miss it.
Sawasawa...
heshima zenu wakubwa! hivi imewahi kukutokea ishara yoyote kukujulisha kuwa jambo flani litatokea? kwa mfano. kuna wengine wakiwashwa mkono hupata hela, wengine jicho likiwacheza ni ishara...
Jamani kuna kitu kinanishangaza hasa kwa wanawake,hebu tuwekane wazi.
Kuna uhusiano gani kati ya kusugua sufuria au chombo ch bati kwa mchanga na tendo la kubana meno.
Au kusugua kioo kwa wembe na...
Nani anakumbuka Pajero??Mimi nakumbuka pajero zinaingia nilikuwa Arusha aliyekuwa anamiliki pajero ya kisasa ni mkurugenzi wa AICC!na baadhi ya wahindi!hapo nimwaka 1989!kumbuka na wewe!
Habari tulizozipata sasa hivi kwenye chumba chetu cha habari zinasema jana usiku kwenye mkesha wa muungano kapos zifuatazo zili organize come together ili wabadilishane mawazo na kufahamiana kwa...
Unajua kila chakula huwa kina sifa zake. Jamani hapa katika utafuti wangu nimegundua yafuatayo kutokana na maharage ya mbeya.
1. Yana maji mengi sana ukiyapika sana yanakuwa uji uji mweupeee!
2...
A man is stopped by the police at midnight and asked where hes going.
Im on the way to listen to a lecture about the effects of alcohol and drug abuse on the human body.
The policeman asks...
Kuna watoto wadogo kama umri wa miaka 3 au 4 hivi,unakuta anafanya kitu halafu ukimwambia aache,hata umwambie kwa
ukali ye haachi,mfano unamwambia "tupa ulichoshika"unakuta anakuangalia tu au...
Dogo Tundu alikuwa anapiga stori na dingi yake mara demu wake akatokea....!
Dah...! Dogo Tundu akaamua kutumia akili ya kuzaliwa ili dingi yake asijue chochote kati yao,
maongezi na demu wake...
jana nimecheck clip ya baikoko hawa mademu ni nomaa yani wakifanya porn star search tanga itaibuka mshindi, halafu hayo mauno na kunua nguo yanafanyika mbele ya watoto. ndo maana tanga...
Mimi nimemaliza A level 2012 February, naomba mtu anayejua chuo cha Malaysia, India ama Singapore ambacho sio chuo bubu cha Medicine, a recomend hapo kwenye comments address ya chuo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.