Habari,
Wadada walio wengi hupenda kufunguka sana kwenye first date. Utakuta mtu unamuangalia tu unamlia timing ili umfahamu vizuri.
Anaanza, " Unajua mimi kwanza nilikuwa na Mr A nikampenda...
"Mchungaji abaka kondoo wake"
Kijana mmoja katika kijiji cha nyamitweibhili aliyekuwa akichunga kondoo amekutwa akila mambo na kondoo aliemfunga kamba katika mti.
Habari,
Hivi magari ya wakubwa yanaruhusiwa kutanua? Hii kama mara ya 2 naona gari ya CAG inatanua hapa palm beach. Sasa huyu ndio controller and auditor general.kaazi kweli kweli.
mama alitoka job, kuingia tu ndan mwanae mdogo kampokea na kumwambia mamy subr nikuammbie kitu, mama akamkatisha, akamwambia utaniambia baadae coz saa hz naenda kupika, akiwa anapika mtoto kaanza...
Kuwa Mjanja kama Zitto Kabwe, uwe mwepesi kuchukua uamuzi kama Deo Filikunjombe, hakikisha una msimamo kama Godbless Lema, usisahau kuwa na maamuzi mazito kama Lowassa, na uwe unatii maelekezo ya...
A pastor married a jealous woman. One day the woman was in the kitchen cooking when she overheard him praying in the living room, Thank you Lord for bringing mercy, joy and grace into my life....
​NASA was interviewing professionals they were thinking of sending to Mars. The touchy part was that only one guy could go and it would be a one-way trip, the guy not ever returning to...
jamani jf inamatatizo ya kiufundi??? mana toka jana kila nikifungua hola!!!!nakutana ujumbe huu.......The server timed out
You tried to access the address
https://www.jamiiforums.com/ ,
which...
kichwa cha habari chahusika...... huyu binadamu aliyeko mbele yangu kwa ngazi moja nimfanyaje?
ndo maana wengine wanarogwa, maana akiondoka kiti chake nakalia kero zinaisha...
:yo:Bosi alikuwa safari ya kikazi sehemu fulani. Akaamua kuchukua chumba kwa muhudumu wa gesti ili aweze kumpumzika na uchovu wa safari.
Bosi: Anamuuliza muhudu Hapa naweza kupata kiburudisho...
Kuna jamaa yangu amenieleza kuwa aliandika mchango wake hivi karibuni katika jukwaa moja.
Anasema alifanikiwa kuuona machango wake kwenye thread na kuusoma mara kadhaa.
Anasema ilikuwa usiku...
eti mtu katongoza kakataliwa anaanza mpondea rafiki yake coz anahis atampindua sasa nilichomjibu nika mwambia sina mpango na mtajijua wenyew eti kamaind anaanza leta mineno yenye shombo mi nadhan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.