Baadhi ya dini zinasema, jisaidie na ndipo Mungu atakusaidia. Nyingine zinasema, bisha hodi utafunguliwa. Kubisha hodi ni hadi utembee na kufika mlangoni, bila kufika mlangoni hutafunguliwa. Hii...
During a North African campaign a bunch of soldier boys had been on a long hike, and they arrived in a little town called Casino." The next morning being Sunday several of the boys went to church...
kuna watu humu ndani nimewamis si mchezo yupo g. Mpolee, kongosho, liverpoolfc, Invisible, Boflooo, smile. Ao ni baadhi tu. Ukiwaona au wakija nina salam zao.
Shkamoo, Mambo, Hujambo, how are...
Padri mmoja mzee alistaafu na wanaparokia walimfanyia sherehe kubwa. Katika sherehe hiyo, mbunge wa eneo hilo alipangwa kutoa hotuba ya shukurani ya kumuaga padri huyo kwa niaba ya wanaparokia...
SAMAHANI SINA NIA YA KUANDIKA LUGHA CHAFU ILA HII NILIISIKIA NIKASHANGAA. Jamaa mmoja alikuwa anasema eti kwenye mpira huwa wachezaji wanabadilishana jezi baada ya mechi kama ishara ya fair...
za asubuh jaman beibe nasty naendelea vizuri na mafua. Sasa bana kunawatu hawa wananikera hakuna mfano eti mtu anakohoa,anapiga chafya, anapiga miayo halaf hazibi mdomo halaf ukimwambia anakua...
Jamani, hebu njoni tupige stori tu
Kuna mtu kaniibia pochi yangu hapa Kariakoo nina hasira ya kula mtu mzima mzima
Nahisi nataka kupandisha mori
Bora niwakaribishe kwa kahawa na biya hapa
Labda...
Wana wa jamii, milango ya saa 11, nikiwa natoka kwenye mishemishe zangu, gari yetu ikasimama maeneo ya mjini mmojawetu alikua ananua vocha.
Hapo tuliposima mbele yetu kuna fundi wa simu, kwa...
Yaani for Gods sake naomba tu hii siku iishe maana nimeboreka kupitiliza!
No sms tangu asubuhi kwenye simu yangu achilia mbali simu zenyewe
No new email achilia mbali skype
Yaani ndio kusema watu...
Kazi njema na weekend njema, tufanye mazuri na tuwafanyie watu mazuri kwani ukijifanyia mazuri siku ukifa unaondoka nayo ila ukiwafanyia watu watabaki nayo all the time.
Wanawake wa Uganda wamechachamaa, kwa kupinga mwenzao (Ingrid), kushikwa matiti wakati anakamatwa na polisi kwa kutembea kifua wazi. Tukio hili la aina yake limevuta hisia za wengi na...
Jamaa mmoja aliishi sana mjini baada ya kutoka kwao kijijini kwa muda mrefu,baadae jamaa aliamua kuoa na akaona bora ampeleke mke wake kwa wazazi wake kijjni. Wazazi wa yule jamaa walikuwa...
Tangu tuzaliwe mpaka tumekuwa watu wazima ni 95% nguvu za malezi ya jinsia za kike. Tukianzi nyumbani mtoto siku zote hulelewa na jinsia hii, mama, dada au house girl, tukianza chekechea au day...
Bibi mmoja kibogoyo alikuwa amelazwa hospitali. Siku moja alimtuma mjukuu wake amletee kashata za karanga, kwa kuwa alikuwa hana meno alifyonza sukari halafu karanga akawa anaweka kwenye kisosi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.