JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wapendwa, unapoibiwa ukakosa pa kushtaki inauma maradufu. Nakumbuka zamani pale soko la Ilala wafanya biashara wa Kuku walikua wakiwapaka Kuku wagonjwa Pilipili ya unga katika ile sehemu ya nyuma...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuna jamaa alikuwa anamfukuzia demu lakini yule dem akawa anachomoa,siku moja huyu dem alikuwa anafua nguo zake za ndani "chupi",jama akatokea pale na kuomba maji ya kunywa.Ile dem anarudh...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamaa alirudi nyumbani kwa furaha na kumwambia mkewe. Mke wangu, nimepata zawadi ya boksi la Condom za dhahabu! nimeshinda shindano la "ishi daima na condom". Mkewe aliyekuwa anataka kutoka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Yafuatayo ni maoni ya baadhi ya wadau... Dereva: trafiki wacwepo barabarani Mwanafunzi: hesabu zifutwe mashuleni. Mfanyabiashara: TRA itaifishwe. Mlevi: baa ziwepo maofisini. Mdau na ww...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Salam, nikaribisheni jamani hapa kwenu..mie sie mtaalam, Naanza na hii...wewe ni bosi na wafanyakazi wanakugaya sana, siku moja umeenda haja na baada ya kumaliza wataka kuflashi bahati mbaya hamna...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Kwa kuu kama mlivyosikia kwenye vyombo vya habari,kikundi alichokua anaongoza Osama Ole Laden wametangaza kua iko wazi,mpaka sasa aliyetumam CV nia Ali Alawi, Je wewe kazi unaiweza?Tuma CV yako
0 Reactions
8 Replies
2K Views
kiukweli net yangu imepasuka mbaya...saa ingine naamka mguu uko nje... kwa kuadhimisha siku ya malaria,nimeamua kuipeleka kwa fundi kuishona...be honest,net yako ni nzima? malaria...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Jamaa alikuwa anadai akamkuta mdaiwa wake barabarani, akamwambia leo tumekutana lazima unilipe, mdaiwa kamwambia jamaa hunipati najiua akachukua kisu akajichoma akafa. Mdai akasema sikubali...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
miadi ya ku du mingi j'pili vikao vya kwenye rangi ya mende vingi j'pili kwa nini j'pilg
0 Reactions
76 Replies
5K Views
Nilipokuwa kidato cha pili nakumbuka nilikuwa na daftari kubwa lililokuwa limejaa lyrics za nyimbo kibao, wimbo huu ulikuwa moja ya nyimbo nilizozipenda sana na zikafanya Celine Dion kuwa one of...
2 Reactions
169 Replies
8K Views
Watu wengine bwana si waastaarabu hata kidogo, sijui wamejiumbaje umbaje?? Wewe unafanya kitu au jambo na mtu mkiwa wawili tu, lakini unakwenda mtaani unatangaza ili iweje? Mtu ulikuwa naye wewe...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Ndg wana JF hasa wale wazee wa 'totoz' ni hatua gani utakayoifikia ukahisi unaelekea kummiliki 'mtoto' maana mi nikipata contact (namba ya simu) tu nakuwa 50%.... possession.
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Niko kwenye mghahawa mmoja katikati ya jiji, na niko peke yangu.....................Ghafla natupiwa swali hilo na muhudumu anayenihudumia................. Nimemwambia nitamjibu nikimaliza kula.
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Jaman naomba msaada, nilikua na download music. Nilivyomaliza nikataka kuplay nyinbo zote zikagoma mpaka video haziplay. Pia ring tone nilokua nimeweka imebadilika na kuita kwa tone ambayo ni ya...
0 Reactions
6 Replies
911 Views
Wadau habari zenu. Post hii nimesugua kichwa niiweke jukwaa gani , iwe muafaka. Mwisho wa yote nikaona niitupe hapa ambapo hubeba vitu cocktail . Wadau naandika post hii nikiwa na UCHUNGU...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kutokana na furaha ya ushindi wa leo natangaza kuwepo mapumziko kesho kwa mashabiki wa Chelsea kokote waliko... Viva Chelsea...... ...
1 Reactions
34 Replies
2K Views
nini kimempata mwandada huyu? mbona amekonda hvi? Hapo camera ye2 ilmfuma live eneo la Boston City usa ktk utoaj wa tuzo.
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Like us on facebook and contribute to help shape the future of African Tourism through innovation..... kwa ku like bofya hapa Africa | Facebook
0 Reactions
4 Replies
829 Views
JAMAA mmoja baada ya kuwa na hali ngumu aliamua kufunga safari kutoka kwake Mbagala hadi Kinondoni jijini Dar kwa swahiba ili akapate msaada wa fedha apunguze ukali wa maisha. Katika kutafuta...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom