Kama utamu upo kwenye sukari mbona vyengine ni vya chumvi nahuwa vitamu? Na kama utamu upo kwenye chakula mbona vyengine haviliwi na vitamu? Nakama utamu upo kwenye furaha saa nyengine mbona...
rafiki/partner ambaye tutakua fanya mambo ya maendeleo ya kimaisha na kwenda hunting, climb milima, deep sea diving, kucheza kidari na kombolela lakini NOT fall in love..... cheers!!!!!
..
yaani wameweka page nzima ya mwisho tangazo la magamba?!!! Aaargh! Hadi kichefuchefu! Nilimelitupa na gazeti lenyewe. Mwenye moyo wa kulisoma toleo hilo atuwekee hapa habari yeyote atakayoona...
Msukuma mmoja alikua anaumwa na
kulazwa kwenye hospitali moja hivi.
Siku moja rafiki yake akaenda
kumtembelea kumpa pole. Wakati
jamaa anafika akakuta mgonjwa ana kikombe cha uji anakunywa...
Wakuu niaje?
Hivi username yako ya JF inamaanisha nini?
Uliwaza nini mpaka kujiita hivi unavyojiita?
Naanza na yangu.
Endangered.
Kama raia wengi nchini wanavyokosa haki zao za msingi, mi...
Mimi mmoja wapo. Zilikuwa hazichelewi kukatika katikati.
Basi ikikatika ndio balaa. Ukivaa itaanza kupanda taratibu mpaka itafika kifuani.
Je mnazikumbuka wana JF
Haya hapa ni maelezo ya kumtambua Mtu aliye kwenye Company au dini ya Freemanson:
1. Kila siku saa 7:00 usiku anaamka kwenda chooni kukojoa.
2. Kila akialikwa kwenye mialiko anavaa suti yeusi na...
jamani mei leo nimeamua kuwa MOD wa kujitegemea, na kufuatia hilo na kutokana na sababu zilizo ndani ya maamuzi na uwezo wangu, sitakuwa hewani kwa wiki kadhaa, kuanzia leo saa kumi jioni...
A man, sitting outside his home about to be evicted from his house, was contemplating how the future would be after he had divorced his wife, lost his children, lost his job. He notices a crate of...
Enzi za mwalimu, mwl aliongozana na waziri wake mmoja kwenda ziarani nje ya nchi. Walipokuwa kikaoni mwl na yule waziri walikaa viti jirani sasa ndugu msomaji kwa bahati mbaya yule waziri alijamba...
Mtu mmoja alikuwa anasafiri peke yake kwa miguu na njia pekee ya kumfikisha aendako ilihusisha kupitia kwenye pori. Akiwa katikati ya pori alikutana na simba, akapanda juu ya mti pekee uliokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.