Huwa najiuliza wanaume havutiwi kuvaa nguo za kike kwa nini??wakati wanawake wanavutiwa kuvaa nguza kiume kuanzia,Trouser,shirt,coat,shortpens,boxer!hivyo nibaadhi!wakati wanaume wa scotland...
weekend moja nilitoka nikapate kilimanjaro baridi, basi kufika mida ya saa saba hivi jamaa wawili wakaanza kuzozana mmoja mrefu na umri umeendaenda mwingine kajunk tu tena kafupifupi, sasa...
Jamani hawa watu nawasifu na kuwapa hongera wawe na moyo wa upendo wa kuwakaribisha wageni.sielewi kama na kwenye maisha nje ya jf wapo hivyo ila jitahidini hata mtaani kuonesha ukarimu wenu
Nina imani kwa wale wenye mapenzi ya kweli na huu utamaduni wa maisha ya mtu mweusi (HIP HOP), wanatambua jinsi ulivyo wasaidia waafrika wenzetu wa huko marekani na sehemu mbalimbali duniani...
baridi ndo inaanza na nimehamia huu mkoa wa watu, baridi sijawahi kuiona maishani mwangu...nataka nioge na napenda maji baridi nianze vipi jamani?siku ya tatu sijaoga sasa
Nisaidie tafadhali
Natamani UDOM kingekuwa chuo kikuu. Natamani CCM kiwe chama cha upinzani. Natamani mademu wote wawe wanatongoza wanaume. Natamani Jf member wengi wangekuwa wanatoka Tabora na siyo Arusha. Natamani...
duh maisha yanabadilika zamani mtu akiwa na kitambi basi atahesimika na kuonekana mwenye nazo mla vizuri...leo hi mtu mwenye ndambi anaonekana lofa tu mla hovyo na asiyefanya mazoezi....mtu wa...
Ukisikia mbu anakutembelea, utamfukuza kwa njia gani?
1. Kumbamiza kibao
2. Kwa kummaliza kwa makofi
3. Kwa kumbembeleza na kitambaa au
4. Kwa kumpa ofa feki ya damu ukisikia anakung'ata...
Jamani wana Jf, (Maana Jukwaa hili nalo pana) kama kuna yeyote anayewafahamu watu hawa (Nadhani watakuwa wakubwa maana tulisoma nao enzi hizooo S/msingi Ligula 2003) awasiliane na mimi,
1. Asha...
hapo zamani za kale palikuwa na mti mmoja mkubwa sana ili kuukumbatia unahitaji watu watano warefu! sasa mti huo ukatokeza matawi na tawi moja likawa kubwa sana ukubwa wake ukiwa nusu ya ya mti...
Shoga mmoja alienda kwa mganga wa akienyeji apewe dawa ya kuotesha nywele kifuani, mganaga akamwambia paka vaseline kifuani shoga akamjibu kama vaseline ni dawa basi bekinya yangu ingekuwa na afro
Man buys a Lie detector robot that slaps people who lie.He decided to test it at dinner:Dad: Son where were you today during school hours?Son: At school (robot slaps son)Son: Okay I went to the...
Jamaa alienda kwa mchungaji kuungama...
"Nihurumie Mungu wangu, nimetenda dhambi nyingi saana..."
Mchungaji: "Mwanangu, usihofu... Mungu ni mwenye huruma saana...
Atakusamehe tu..."
Jamaa...
Urafiki wa MASABURI
Leo nimeamini kuwa hakuna marafiki kama masaburi yalizaliwa pamoja; yanaishi pamoja; yanakaa pamoja; yanachapwa pamoja; yanatembea pamoja; yanavaa chupi pamoja na hata kufa...
Kutoka Mtandaoni Yahoo
Typical Female
JEALOUSY
A woman wanted to reach her husband on his mobile phone but discovered that she was out of credit, she instructed her son to use his own phone to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.