JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jamaa wanatoza kiingilio Shs 500 na watu wamejaa kibao kwenye kaukumbi kao. Stori ni Sugu, Sugu, Sugu
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Wana jamvi, Nimekuwa namsikia huyu kijana lakini sijajua cv yake,je mwenye details zake aweke hapa,age wise,educational background nasikia anapesa kuliko age yake. Naweka mezani...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kama haujawahi kucheza kombolela Kama haukuangalia "The Hard Way" , mniga aliliwa na mamba Kama hauwezi kuimba "**** kina kaaloki.....Na Jimmy, acha acha hilo gitaa..ahaaahaaa aya madiscoooo dansa...
1 Reactions
54 Replies
5K Views
"Nakushukuru mh. spika kwa kutongoza vizuri" hayo ni maneno ya pinda akiwind-up hotuba ya kuahirisha bunge!!!! khaa! unabisha? kwani we umesikiaje?
0 Reactions
3 Replies
914 Views
Nimesikia wapiga debe wa dala dala za segerea,waki piga debe.
0 Reactions
0 Replies
882 Views
Habari wanandugu Napenda nijue upande wa consumption ya mafuta kwa gari mbili, zote injini sawa ukubwa wa injini sawa mfano hai 4000cc, moja inatumia petrol, na nyigine inatumia diesel. Ipi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
NI WAPI?? PAMEFANYAJE?? WATAKA KUPAJUA?? BOFYA HAPA Africa | Facebook
0 Reactions
4 Replies
771 Views
Dem fulani wa masaki aliingia box ya Janja ...wakiwa wanakiss,Janja ananote dem hafungi macho..anauliza dem..."hufungi macho,kwani haufeel kissez zngu?...dem akamjibu..."Jj si hivyo last tym...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cast: Steven Kanumba and Ramsey Noah Director: Steven Kanumba Writer: Ally Yakuti Rating: PG-18 Running Time: 120 min. Available in: VCD, DVD, VHS. Produced in: 2011. A young man working hard to...
0 Reactions
66 Replies
152K Views
Ndugu zangu wale wote nilio waachia majukumu nataka ripoti....na zawadi zenu zipo hizi ni baadhi yake..nataka mniambie kina nani walikuwa wanarusha mawe?
1 Reactions
52 Replies
3K Views
Byshernger, popote ulipo tambua kuwa senene ulioniachia nimewatunza hadi utakaporudi. Ni kitu gani kilikupata ulipohamia Unga Ltd? Njoo nitakupeleka Mchele LTD, kitu gani unga bana...
2 Reactions
100 Replies
5K Views
Jamaa alikuwa anatongoza demu ghafla dushelele yake ikasimama kwa hasira akafungua zipu na kuutoa akauambia haya tongoza mwenyewe na haraka zako
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Dogo wa A-level alikuwa anapenda mademu kinyamaa lakini gundu. Ikawa tabu kwake. Juzi usiku kamatokea Malaika akamwambia amuombe anachotaka ataampa. Dogo akamwambia anataka demu. Malaika...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Ndo nimefungulia radio hapa 0645 MAM, kwa raha zao, bila wasiwasi wala presha, DJ ameweka wimbo wa Brown Eyes wa Destiny's Child, nikajua labda amekosea mara moja, na nyimbo zinazofuata za...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari kutoka watu wa karibu na MC shupavu wa ccm aka nape mkuu wa wilaya, anajuta kuwasema vibaya Makamanda wa CDM ili hali anataka kuhamia CDM, Hali hio imekuja wakati akionekana kukosa pozi la...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
bidada dutchess of toronto mugshot alipokuwa akiishi florida marekani. huyu dada alivamia hasheem baada ya hasheem kumtolea nje cousin yake mange kimavi, pia wamesoma zimbabwe na mange. huyu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kuna baadhi ya misamiati au majina ya kiswahili ambayo wanayajua walioishi mbeya kwa mda mrefu tu!! wa mikoa mingine hawayajui mfano, FONKA=FOREST BOGI=MVUA, SIBWE=Mwanaume aliyekomaa...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
nilipokuwa darasa la kwanza tulikuwa tunafundishwa kuimba hv "tunaunganisha herufi na irabu tunapata silabi,silabi na silabi ni neno neno na neno sentensi na hivi sasa tunasoma A E I O U. Basi...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
katika hali isiyotarajiwa, ninaangalia Discovery kipindi cha Crime Search na jamaa aliyekuwa ametoka Tanzania alikamatwa na kuwekwa chini ya Ulinzo kwa kuwa na "Unidentified Yellow Substance"...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
A man sitting in a pub with his wife, and he says "I LOVE YOU" She asks: Is that you or the Beer talking? He replies: It is ME talking to the BEER...:shut-mouth:
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom